Wanakuja kufundisha uchawa.Mwenyekiti wa CHADEMA aelezea vituko vya chama dola kongwe CCM
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA ARUSHA ATOA MAZITO MKUTANO WA HADHARA
View: https://m.youtube.com/watch?v=e2Ikimr7f60
Hatuwezi kuwaelewa Prof. Palamagamba Kabudi wala William Lukuvi waliotumwa na serikali ya CCM maana serikali ya CCM haiwezi kutatua matatizo ya wananchi.
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha akaongeza kuwa wananchi wa mkoa wa Arusha ni wajanja na werevu wenye uelewa mpana kuhusu utawala na mamlaka wananchi walionayo kikatiba kuibana serikali
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA kaongea utumbo mtupu. Sasa uwanja wa ndege usipanuliwe kisa ni mkubwa kuliko wa Dar? Akili za kijinga sana. Halafu CHADEMA acheni kumwiga Sultani Mbowe jinsi ya kuongea.Mwenyekiti wa CHADEMA aelezea vituko vya chama dola kongwe CCM
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA ARUSHA ATOA MAZITO MKUTANO WA HADHARA
View: https://m.youtube.com/watch?v=e2Ikimr7f60
Hatuwezi kuwaelewa Prof. Palamagamba Kabudi wala William Lukuvi waliotumwa na serikali ya CCM maana serikali ya CCM haiwezi kutatua matatizo ya wananchi.
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha akaongeza kuwa wananchi wa mkoa wa Arusha ni wajanja na werevu wenye uelewa mpana kuhusu utawala na mamlaka wananchi walionayo kikatiba kuibana serikali