mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wakati hiyo ingetua Holland watu wangejiachia tuNingekuwepo hapo ningezuga tu upande wa moshi unapoelekea.
Anga la Arusha limepata neema. Huo moshi mtakatifu utaenda kurutubisha na watu kupata mvua za kutosha na kilimo kunawiri na mavuno ya kutosha.
Hawa wabongo wamechoma hela
Ova