Arusha: Hekari 101 na Magunia 482 za Bangi zateketezwa

Ningekuwepo hapo ningezuga tu upande wa moshi unapoelekea.

Anga la Arusha limepata neema. Huo moshi mtakatifu utaenda kurutubisha na watu kupata mvua za kutosha na kilimo kunawiri na mavuno ya kutosha.
Wakati hiyo ingetua Holland watu wangejiachia tu
Hawa wabongo wamechoma hela

Ova
 
Bongo sahv wanahamasisha watu wakate mauno+kuwa machawa tu

Ova
 
Thailand, USA, Canada nk bangi ni zao halali na watu wanapiga hela ndefu vibaya. Kuna haja ya kuweka sera nzuri kwenye hili zao, tunaweza ku-export kwaajili ya utengenezaji madawa nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…