watu wanahangaika na mambo yasiyo ya maana , kuna mbunge aliwahi kusema bungeni bangi iruhusiwe wakamshambuliaaaaaaaa, alimaanisha waruhusu watu walime kwa mpango na itumike kuuza nje kwa wanaotengeneza dawa mbali mbali. Watu wanajua kazi yake ni kuvuta tu , mwenzenu Mike Tyson sasa ana hekari kama 40 hivi za huo mmea na ni tajiri wa kutupwa kwa ajili hiyo tu, nyie endeleeni na ngonjera zenu za ooh eti dawa ya kulevya , wakati huko mnakoomba misaada wao ndio wanatumia kwenye mambo yao ya matibabu na dawa.