Arusha hivi "vifodi" ni kuchafua jiji achaneni navyo

Arusha hivi "vifodi" ni kuchafua jiji achaneni navyo

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Nipo Arusha, yaani hivi vi-hiace katikati ya mji ni uchafu na usumbufu katika zama hizi za wingi wa magari.

Vinasababisha usumbufu, vinasimama popote ni vingi na kero.

Uongozi wa Halmashauri ya jiji Arusha hebu igeni majiji mengine ya Tanzania kama Mbeya na Dar walishaachana na vigari aina ya 'vipanya' katikati ya miji yao. Ninyi mmekomaa navyo.

Wekeni jiji kuwa na hadhi ya Geneva kwa kuondoa vipanya city center.
 
Nipo Arusha yaani hivi vi-hiace katikati ya mji ni uchafu na usumbufu katika zama hizi za uwingi wa magari.

Vinasababisha usumbufu...vinasimama popote ni vingi na kero.

Uongozi wa Halmashauri ya jiji Arusha hebu igeni majiji mengine ya Tanzania kama Mbeya na Dar walishaachana na vigari aina ya 'vipanya' katikati ya miji yao. Ninyi mmekomaa navyo.

Wekeni jiji kuwa na hadhi ya Geneva kwa kuondoa vipanya city center.
Pia watu huko ,maji ya kuoga wanayaona kama kituo Cha polisi. Mtu anavyaa koti moja mwaka mzima halioni maji. Jiji chafu sana hilo
 
Yes aisee yaani ni vingi tena vile vipanya sio hiace za high roof, high roof chache. Vipanya short roof Mbeya waliachana navyo miaka ya 2000s mwanzoni; Arusha wanatuangusha sana.
Jiji la Mbeya naona mpk mkuu wa mkoa alienda kuzindua ghorofa ya Kwanza lenye lift mkuu.

Hili jina la Geneva of Africa tulipewa kufarijiwa tu nadhani.

Dar nayo ni jiji letu lkn BBC waliliita ni Kijiji kikubwa cha wavuvi.

Majiji yetu ni changamoto kiaina.
 
Jiji la Mbeya naona mpk mkuu wa mkoa alienda kuzindua ghorofa ya Kwanza lenye lift mkuu.

Hili jina la Geneva of Africa tulipewa kufarijiwa tu nadhani.

Dar nayo ni jiji letu lkn BBC waliliita ni Kijiji kikubwa cha wavuvi.

Majiji yetu ni changamoto kiaina.
Ila Arusha kwa hili wanatia albu, Mbeya siku hizi kumekucha majengo marefu yanaongezeka kila uchao...usafiri wa umma mkubwa safi ila Arusha wamezingua
 
We fanya yako uridi kwenu kila mji una kitu kinachoweka identity yake. Nenda Johannesburg utakuta Wana hiace dungu zile new model hakuna mabasi unayotaka sijui coaster kwani unaenda mkoani?

Halafu route ni fupi pia abiria sio wa kivile unajua mji una baridi watu wengi wanatembea tu kwa coaster utapata hasara.

Kuhusu hiace hata Lagos na Harare pia ndio usafiri wa town.

Hizo hiace hapo Arusha zimekuwa pimped balaa mbona husemi? Zina muziki na tairi inapigwa rim sport kali. Hiyo ndio chuga mazee acha usoro jomba.
 
Huwezi weka coster Arusha kwa ruti ipi??? Maji ya chai??? Au ipi??

Kuna ruti za dar zina umbali wa Arusha - moshi ...

Sema hopo kwenye sa tatu vinatoweka nimeelewa.... Alafu mjini kati panazidiwa hadi na kahama kwa uchangamfu mana sa 3 usiku stend ishapoa.
 
Wakati wa hatamu ya Gambo, Lema akiwa mbunge na ile crew ya madiwani wa kipindi kile waliwahi kujadili na kuazimia kuboreshwa kwa usafiri wa abilia jijini Arusha.

Pamoja na muundo wa barabara kujengwa kwa ustadi na kukosa vituo vya matumizi ya mabasi ya abilia (daladala) lakini nakumbuka Lema aliwahi kuhoji na wadiwani kutaka mabadiliko ya usafiri jijini Arusha.

Mabasi makubwa (Coaster) zipo tatizo ni usajili wake au wamiliki wanayaleta kwa uchache sana.
Ukiangalia baadhi ya njia kama to Usa au Monduli hiece zinapungua taratibu.

Ugonjwa mkubwa ni muda wa kulala wa madereva ndiyo kichefuchefu, sababu kubwa ni hii hapa...

Baadhi kama si wote wa madereva ni wazawa, hawana stress na maisha, kwanza wana uhakika na maisha sababu wana asset ya urithi (boma) hiyo inamfanya akipata 5000 ya konyagi anapaki gari.

Pili..
.
 
Hapa dar tumekaribisha bajaji na bodaboda!! Hadi nawaonea wivu
 
Back
Top Bottom