Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

MUSIGAJI

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
2,254
Reaction score
2,715
Wanajukwaa nawasimu,

Hongereni kwa kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.

Kama nitakuwa ninakumbuka vema, ilisemwa tarehe ya leo (1/10/2021) Ni siku ya hukumu ya Kesi ya Lengai Ole Sabaya ( Kesi ile ya mwanzo).

Je kumbukumbu zangu ziko sawa?.

=========

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole sabaya na wenzake wawili.

Sabaya na wenzake wanatuhumiwa kutenda makosa hayo February 9 mwaka huu katika duka la Saad store linalomilikiwa na Mohamed Saad lililopo katikati ya jiji la Arusha wakidaiwa kuvamia na kupora wakitumia silaha.

Kesi hiyo iliendeshwa mfururizo takribani siku 35, mbele ya hakimu mkazi mwandamizi Odiro Amworo kutoka mkoani Geita, ambapo upande wa serikali uliwasilisha mashahidi 11 na vielelezo kadhaa, hivyo Leo kesi hiyo inatarajia kufikia tamati kwa kutoa hukumu kwa washtakiwa hao watatu .

Washtakiwa wengine wanaotarajiwa kuhukumiwa hapo kesho ni Silvester Nyegu na Daniel Mbula

2948393_FB_IMG_1628770975220.jpg


==========

UPDATE:
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha kutoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili.

Hukumu imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021
 
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
 
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
Mtaani pia ana kesi?[emoji2955][emoji2955] au wakulungwa wanamsubiri
 
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
Hata kesi ya terrorist suspect (Mbowe) inaendelea vizuri kwa hiyo kaa kwa kutulia.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.

images.jpeg
 
Wapigeni msasa jamaa zenu wajue hata maana ya PGO.
Wewe tulia mahakama ifanye kazi yake, maana nyie hamueleweki, Sabaya akihukumiwa kifungo mtashangilia na kusema mahakama imetenda haki, mtu wenu akihukumiwa kifungo makelele kibao kuwa mahakama haijatenda haki, wakati mahakama ni ile ile ya Tanzania. Mnafikili watu wenu ni malaika hawawezi kufanya makosa?

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole sabaya na wenzake wawili.

Sabaya na wenzake wanatuhumiwa kutenda makosa hayo February 9 mwaka huu katika duka la Saad store linalomilikiwa na mohamed saad lililopo katikati ya jiji la Arusha wakidaiwa kuvamia na kupora wakitumia silaha.

Kesi hiyo iliendeshwa mfururizo takribani siku 35, mbele ya hakimu mkazi mwandamizi Odiro Amworo kutoka mkoani Geita ,ambapo upande wa serikali uliwasilisha mashahidi 11 na vielelezo kadhaa,hivyo Leo kesi hiyo inatarajia kufikia tamati kwa kutoa hukumu kwa washtakiwa hao watatu .

Washtakiwa wengine wanaotarajiwa kuhukumiwa hapo kesho ni Silvester Nyegu na Daniel Mbula.

FB_IMG_1628770975220.jpg
 
Back
Top Bottom