Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

Atapigwa kitu kikubwa makusudi ili akakikatie rufaa baadae alafu anashinda rufaa anatoka "mark my words"
 
Kwa hiyo leo/kesho anaanza kuvaa Orange na kukabidhiwa jembe na shoka kwa kazi mbalimbali za kujenga nchi? Kweli maisha ni kama Pumb za mbuzi...
 
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
Dogo aliyavamia maisha kichwa kichwa sana, yeye na Mwenzake Bashite! Mwenzao Hapi alikuwa na maneno ya shombo tu, lakini hajawahi kujiingiza kwenye hulka za kuwafanyia watu umafia!! Nashangaa kwa nini watu waliofanyiwa umafia, kudhulumiwa, na kudhalilishwa na Bashite hawachukui initiatives binafsi kwenda kumshtaki, siyo kila kitu kusubiri serikali ifanye
 
Wanajukwaa nawasimu,
Hongereni kwa kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.

Kama nitakuwa ninakumbuka vema, ilisemwa tarehe ya leo (1/10/2021) Ni siku ya hukumu ya Kesi ya Lengai Ole Sabaya ( Kesi ile ya mwanzo).

Je kumbukumbu zangu ziko sawa?.
Hakosi 15 years in jeil

Wakati wa mahakama kutenda haki ndio sasa
Na akatendewe kama anavyostahili
 
Wanajukwaa nawasimu,

Hongereni kwa kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.

Kama nitakuwa ninakumbuka vema, ilisemwa tarehe ya leo (1/10/2021) Ni siku ya hukumu ya Kesi ya Lengai Ole Sabaya ( Kesi ile ya mwanzo).

Je kumbukumbu zangu ziko sawa?.

=========

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole sabaya na wenzake wawili.

Sabaya na wenzake wanatuhumiwa kutenda makosa hayo February 9 mwaka huu katika duka la Saad store linalomilikiwa na Mohamed Saad lililopo katikati ya jiji la Arusha wakidaiwa kuvamia na kupora wakitumia silaha.

Kesi hiyo iliendeshwa mfururizo takribani siku 35, mbele ya hakimu mkazi mwandamizi Odiro Amworo kutoka mkoani Geita, ambapo upande wa serikali uliwasilisha mashahidi 11 na vielelezo kadhaa, hivyo Leo kesi hiyo inatarajia kufikia tamati kwa kutoa hukumu kwa washtakiwa hao watatu .

Washtakiwa wengine wanaotarajiwa kuhukumiwa hapo kesho ni Silvester Nyegu na Daniel Mbula
Mambo ni mengi na yananda kasi. Hivi huyu jamaa alishapatikana na kesi ya kujibu na amemaliza utetezi wake? Sijawahi kumsikia akijitetea.
 
Wanajukwaa nawasimu,

Hongereni kwa kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.

Kama nitakuwa ninakumbuka vema, ilisemwa tarehe ya leo (1/10/2021) Ni siku ya hukumu ya Kesi ya Lengai Ole Sabaya ( Kesi ile ya mwanzo).

Je kumbukumbu zangu ziko sawa?.

=========

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole sabaya na wenzake wawili.

Sabaya na wenzake wanatuhumiwa kutenda makosa hayo February 9 mwaka huu katika duka la Saad store linalomilikiwa na Mohamed Saad lililopo katikati ya jiji la Arusha wakidaiwa kuvamia na kupora wakitumia silaha.

Kesi hiyo iliendeshwa mfururizo takribani siku 35, mbele ya hakimu mkazi mwandamizi Odiro Amworo kutoka mkoani Geita, ambapo upande wa serikali uliwasilisha mashahidi 11 na vielelezo kadhaa, hivyo Leo kesi hiyo inatarajia kufikia tamati kwa kutoa hukumu kwa washtakiwa hao watatu .

Washtakiwa wengine wanaotarajiwa kuhukumiwa hapo kesho ni Silvester Nyegu na Daniel Mbula

2948393_FB_IMG_1628770975220.jpg
Idugunde naomba tuonane haraka hapo nje ya mahakama, ili kupanga mikakati kabambe ya kumtorosha Jenerali wetu mara tu baada ya hukumu kutolewa.
 
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
Duu! MaRC. DC na MaDED wasipopata darasa hapa kwa Sabaya basi hakuna pa kujifunzia! Nimemuona yule jamaa aliyekuwa RC pale Iringa ambapo alikuwa akiita vyombo vya habari kisha kuwakaripia na kuwadhalilisha wapinzani tena wanaomzidi umri kwa mbali sana, sasa hivi kakoma kabisa! Ni mmoja wa watu wanaomshukuru Mungu mpaka leo kuendelea na cheo hiko!
 
Tuiache Mahakama ifanye kazi yake. Pia sheria ifuate mkondo wake.
Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata cho
 
Ooh, kumbe maamuzi ni leo..?

Bila kujali hukumu itakuwaje, lakini baada tu ya hiyo ya Arusha kumalizika, Moshi na Hai huku Kilimanjaro anasubiriwa kupanda kizimbani pia kwa makosa aliyoyafanya...

Si mnakumbuka uvamizi wa hotel kadhaa ikiwemo ya Freeman Mbowe - Aishi Protea? Na ya yule mfanyabiashara akamalazimisha ampe 10,000,000..?

Si tunakumbuka na picha/video za CCTV CAMERA zilimnasa akifanya uhalifu huo tena akitumia magari yenye plate number za kibalozi na UN mpaka ofisi ya UN Tanzania wakajitokeza kulaani "brand" ya UN kutumika kwa uhalifu...?

Kote huko madai yake ni yaleyale, kufanya OPERESHENI YA KUKUSANYA MAPATO YA TRA utadhani yeye kawa TRA mkusanya mapato ya serikali..!

This was absurdity and absolute abuse of power. Lazima awajibike kwa matendo yake mabaya...
 
Yule jamaa aliyemgongelea misumari kwenye mguu na wale watoto alowakata masikio sijaaikia kesi yao
 
Duu! MaRC. DC na MaDED wasipopata darasa hapa kwa Sabaya basi hakuna pa kujifunzia! Nimemuona yule jamaa aliyekuwa RC pale Iringa ambapo alikuwa akiita vyombo vya habari kisha kuwakaripia na kuwadhalilisha wapinzani tena wanaomzidi umri kwa mbali sana, sasa hivi kakoma kabisa! Ni mmoja wa watu wanaomshukuru Mungu mpaka leo kuendelea na cheo hiko!
ni kweli kabisa...
 
tuishi kwa na kutenda kwa kutumia akili zaidi kuliko kuendekeza utashi kwenye kutenda end of the day tutakuwa na mwisho mbaya
 
ala huyu jambaz wa mwendazake hukumu yake ni leo kumbe.
 
Back
Top Bottom