Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

Nimesoma mahali kuwa huyu jamaa alikuwa na simu uisiku wa kuamkia leo!
Alipewa na nani?
Alikuwa akiongea na nani?
Nini malengo ya kupewa simu?
Kwanini kesi imeahirishwa?
Nini kipo nyuma ya pazia?
 
Mbona bashite yeye hakamatwi? Wakati alifanya unyama zaidi ya huyu!
 


Hizi hukumu kuarishwa na kama vile wanasubiria maelekezo kutoka juu badala ya kesi yenyewe
 
Hawawezi kumfunga
Mbali na miaka 30 aliyokwisha kuipata, leo tena anapanda kizimbani kwa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji pesa. Nadhani leo atapanda na suti yake mpya.
 
Mahakama; ewe jambazi jitetee

Sabaya; nina mchumba nimemlipia mahari naombeni mniachie nikapashe kiporo

Mahakama;..... Bwahahahaha 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…