Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha. Kwamba ni minyege sababu ya ulokole ndo imemtia hasira?Inawezekana,
Ukute ata kijana alikua mlokole Safi. Sababu inaonyesha alikosa Plan za Cuba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. Kwamba ni minyege sababu ya ulokole ndo imemtia hasira?Inawezekana,
Ukute ata kijana alikua mlokole Safi. Sababu inaonyesha alikosa Plan za Cuba
Probably, Domo zegeHahaha. Kwamba ni minyege sababu ya ulokole ndo imemtia hasira?
Chaputa Iheshimiwe na watu wote mkuuKwa mtindo huu chaputa iheshimiwe.
Kama ni hivyo, basi Hili limeniumiza sana.Probably, Domo zege
La bhangi wala siyo la kukanusha katika mjadala huu.Bangi haihusiki hapa mkuu huyo ni shida zake mwenyewe binafsi
Binti mmoja ajulikanae kwa jina la Hadija mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia baada ya kuchomwa visu kadhaa na kijana wa mwenye nyumba aliyofikia kufanya kazi.
Sababu za kijana huyo kufanya hivyo inaelezwa kuwa ni kijana huyo kutaka kumbaka binti huyo na ndipo yalipotokea kupishana kati yao.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Nambere kata ya Sokoni 2 wilayani Arumeru.
Mama mwenye nyumba hiyo anasema alimleta hadija wiki iliyopita kuja kumsaidia kulea mtoto , na wakati tukio linatokea alikuwa yupo kazini. Anaendelea kusema binti huyo wa kazi ana muda wa wiki moja tu aje kutoka singida.
Mwenyekiti wa mtaa huo Samweli Laizer amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa walipoingia kwenye chumba cha kijana huyo walikuta damu zimetapakaa kila mahali hadi kwenye kuta za nyumba
Vitoto vya arusha bangi sana,hapo hako kadogo kanajiona kamwambaBinti mmoja ajulikanae kwa jina la Hadija mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia baada ya kuchomwa visu kadhaa na kijana wa mwenye nyumba aliyofikia kufanya kazi.
Sababu za kijana huyo kufanya hivyo inaelezwa kuwa ni kijana huyo kutaka kumbaka binti huyo na ndipo yalipotokea kupishana kati yao.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Nambere kata ya Sokoni 2 wilayani Arumeru.
Mama mwenye nyumba hiyo anasema alimleta hadija wiki iliyopita kuja kumsaidia kulea mtoto , na wakati tukio linatokea alikuwa yupo kazini. Anaendelea kusema binti huyo wa kazi ana muda wa wiki moja tu aje kutoka singida.
Mwenyekiti wa mtaa huo Samweli Laizer amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa walipoingia kwenye chumba cha kijana huyo walikuta damu zimetapakaa kila mahali hadi kwenye kuta za nyumba
Huyo ni mwana JF alidanganywa na ule uzi wa mabeki 3 akajua ni rahisi rahisi kama keyboard warriors wa JF wanavyodanganya humu.Tatizo la afya akili litafutiwe majibu, tunapoteza wengi wasio na hatia
Vijana wa huo mtaa ni wavuta bangi sugu, wakichanganya na ugoro na pombe haramu ya gongo wanakuwa hatari zaidiTatizo la afya akili litafutiwe majibu, tunapoteza wengi wasio na hatia
Vijana Sanaa ya kutongoza imekwisha kabisa zamani dada wa KAZI akipata muongozo mpaka anakuja mwenyewe chumbani ,hii Sanaa ifundishwe Kwa vijana .Binti mmoja ajulikanae kwa jina la Hadija mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia baada ya kuchomwa visu kadhaa na kijana wa mwenye nyumba aliyofikia kufanya kazi.
Sababu za kijana huyo kufanya hivyo inaelezwa kuwa ni kijana huyo kutaka kumbaka binti huyo na ndipo yalipotokea kupishana kati yao.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Nambere kata ya Sokoni 2 wilayani Arumeru.
Mama mwenye nyumba hiyo anasema alimleta hadija wiki iliyopita kuja kumsaidia kulea mtoto , na wakati tukio linatokea alikuwa yupo kazini. Anaendelea kusema binti huyo wa kazi ana muda wa wiki moja tu aje kutoka singida.
Mwenyekiti wa mtaa huo Samweli Laizer amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa walipoingia kwenye chumba cha kijana huyo walikuta damu zimetapakaa kila mahali hadi kwenye kuta za nyumba