Arusha: Kijana amchoma visu binti wa kazi hadi kumuua

Madhara ya kulea vitoto km kuku vinakua havijui hata kuimbisha kwa hiyo vikiona binti yoyote kaletwa home vinajua vimeletewa demu barehe zao vinataka ziishie kwa watoto wa watu
 
Bangi haihusiki hapa mkuu huyo ni shida zake mwenyewe binafsi
Ishakua kama mazoea, mtu akifanya kitendo cha ajabu wanasingizia bangi.

Itoshe kusema, wavuta bangi nao wamechoka kuusingizia mmea, tafuteni kitu kingine cha kusingizia mbona vipo vingi tu, hata ccm mnaeza mkaisingizia.

Mtu akifanya ujinga semeni ccm hiyo.
 
Pole kwa familia zote, marehemu amechomwa visu, na pipe lazima alipigwa.

Jamaa ashtakiwe kubaka mpaka kuua na kosa la pili liwe kuua kwa kisu.
 
Unasubiri mama alete msichana uanze kumsumbua, kijana wa hivi hapaswi kuwa nyumbani.
 
Balehe, Bangi, na Usela vinawafanya vijana wawe wehu.
RIP hadija.
 
Haya ni mauaji ya pili ndani ya wiki moja huko Arusha, kuna binti mwingine aliuliwa wiki iliyopita kisa ni zip
 
Pole kwa familia zote, marehemu amechomwa visu, na pipe lazima alipigwa.

Jamaa ashtakiwe kubaka mpaka kuua na kosa la pili liwe kuua kwa kisu.
Angekuwa alimpiga hiyo angemuulia Nini? Alitaka mechi au roho ya Hadija? Au vyote kwa pamoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…