Kile kilio cha chozi moja sio cha nchi hiiSafi sana! Na hili liwe fundisho kwa wale wote wanaofikiri cheo ndio fursa ya kunyannyasa wengine!
Nawaza wale wanawake 40 waliojitokeza na kudaiwa kubakwa, hapo ana kesi zaidi ya 80 za ubakaji, Pia kuna kesi za kupora wafannya iashara! Ana kesi pia za kupokea huduma bila malipo! ............Kwakweli Mwendazake alicheza kete mbaya sana kuweka jitu kama hili likaongoze wananchi wanyonge!