Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.

Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana mbwa huyu.

Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.

Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.

Mnasemaga tu kwa sababu hamjaenda magereza, magereza hakuna uonevu Kati na mfungwa na mfungwa! Hata iweje!

Magereza watu wana stress zao Mingi sana Hakuna huo mda kabisa, saa 9 ndani na ni Mwenda wa kufuata utaratibu!

Pia huyu muhuni mle ndani lazima kuna wahuni kibao wanaofahamiana naye! Hata kuwa na shida sana!
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri


View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Kumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.
P
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Duh...
Kama wapo waliopata madhila toka kwa huyu jamaa,unawaumiza kisaikolojia sana
Simama palipo wazi na mpinzani,mshinde kwa hoja
Dola ya Sabaya imeanguka,waliomuheshimu wako na bunduki wakimtuhumu

Lkn kila 1 ana nafsi yake na kile kilicho sawa kwake
 
Nimeziangalia hizi picha ghafla huruma ikanijia sijui kwanini?? Kweli Dunia tuikajage taratibu.
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Ni kawaida wala hatushangai kwa ccm kuwapa mafisadi na majambazi tuzo za heshima maana ccm wote ni wakala wa shetani
 
Ficha upumbavu wako, huyo Sabaya kaumiza hata wanaCCM wenzie wengi sana.
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
 
Back
Top Bottom