Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.
Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana mbwa huyu.
Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.
Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.
Kumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri
Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021 Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo. Pia soma: Mtozi Alloyce...www.jamiiforums.com
Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma - Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma - Ole Sabaya apanga kutoroka...www.jamiiforums.com
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
hata waliomuua hawataishi milele na laana yake inawatafuna taratibu...Kwa ivo ulidhani Magufuli ataishi milele??
Duh...Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
US wakipewa go ahead na mama. Utasikia yuko gwantanamo bay na wakina Mullar Omar huko ananyea ndoo.Vipi bwana makonda au tunaangaliana usoni..
Vipi hawa wanaokula mabilioni ya pesa!! Walioshutumiwa kufanya ubadhirifu?
Vipi bwana makonda au tunaangaliana usoni..
Vipi hawa wanaokula mabilioni ya pesa!! Walioshutumiwa kufanya ubadhirifu?
Nimefika Best..Simara
Makiseo
Evelyn Salt
Nuzulati
Raynavero
Dinazarde
BAK
cocastic
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mjibu vizuri ipo kwenye PGO muhalifu lazima achuchumae au akaeUlitaka apewe sofa akalie
Ni kawaida wala hatushangai kwa ccm kuwapa mafisadi na majambazi tuzo za heshima maana ccm wote ni wakala wa shetaniNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Nimeona gazeti moja leo rimeripoti kuwa jalada la kesi ya utekwaji wa MO limepelekwa kwa DPP,nadhani kuna mtu anatafutwa.Bado Makonda
Acha mauza uza wewe!!hata waliomuua hawataishi milele na laana yake inawatafuna taratibu...
wote tutakufa tu
Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app