Hakuna uovu usio na malipo. Labda utubu kwa toba ya kweli. Kila mmoja kwa kipimo cha uovu wake, ndivyo na adhabu zao zikavyowaendea.
Bashite fanya toba ya kweli.
Ndugya tubu
Mahra jutia ouvu wako, omba msamaha
Mganga, shoka dhidi ya uovu halitakuacha usipotubu.
Wale wa chinichini huko, maded, maVeo, maocd, mnaojulikana ma
msiojulikana, neema na mafanikio kwenu utaendelea kuwa msamiati mgumu. Mlimtumikia, mlikula na kunywa na ibilisi, hata mkazinajisi nafsi zenu kwa matendo machafu, dhuluma, mauaji, utekaji watu, nanyi ni halali kwenu kuaibika na kuteseka.