Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
- Thread starter
- #81
Humjui Sabaya mkuu?Ndo yupi hapo maana kuna aliyeficha uso?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humjui Sabaya mkuu?Ndo yupi hapo maana kuna aliyeficha uso?.
Hakuna mtuhumiwa anayekosa utetezi. He is innocent until proven guilty.Nenda kamtetee mahakamani.
Mnyeti, Ndugai, Mwigulu, Hapi na wapuuzi wengine
Hii picha kuna jambo Ulitaka jamii ione huruma[emoji16][emoji16]We mdada hebu acha uchochezi, acha kunichongea kwa Ma Samia bana, mi si nlishatumbuliwa kitambo na marehemu. Hapa nlipo nipo mtaani sina mchongo kama chawa, kupumua kwe jeki, kuhema kwa pampu.View attachment 1807955
Simara
Makiseo
Evelyn Salt
Nuzulati
Raynavero
Dinazarde
BAK
cocastic
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwani Takukuru wanashindaga Kesi? Kwanza Katika Watu wanaotakiwa kufanyiwa legal accounting na Hawa Pccb, Wako very poor Kwenye prosecution.Hawa TAKUKURU wanaweza kuwasilisha ushahidi dhaifu halafu mwisho wa siku anaachiwa.
Uhalifu ni upiganaji?Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Hivi hiyo nayo ilikuwa ni kazi??Kazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Halafu ukute waliokukamata ni wale ulikua unawazengua kinoma.Huwezi amini kabisa kuwa haya yote yanatokea ndani ya miezi miwili tu.. 60 days[emoji134][emoji134][emoji849][emoji849]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ulitaka apewe sofa akalieHii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?
Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Kwahiyo hili ni li movie?Hawa TAKUKURU wanaweza kuwasilisha ushahidi dhaifu halafu mwisho wa siku anaachiwa.
Aliowaumiza je?Kama Mh. Rais ataacha haki ipatikane binafsi niseme namwona sana huruma Sabaya