Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
 
Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.

Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana.

Narudia kwa sauti kubwa, watu huko "GEREZA LA KISONGO" wameshaanza shamra shamra za kumpokea "MWALI WAO". Maandalizi yanafanyika huku shangwe ikitamalaki na wafungwa wakijiburudisha na ule wimbo wa "Dada huyooo, kashaolewaaa!!! Na mahaariii, ishatolewaaa!!! mahariiii ishatolewaaaa!!!". Kungwi wa gereza anamsubiri ili amfunde ipasavyo.

● Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.

● Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Wakati mwingine tumia akili uliyopewa na Mungu badala ya kuiviza.
 
Mambo juu ya mambo
Wapi Bashite...usitoroke tu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sio utani, tusilojua ni usiku wa giza. Mabeberu wanaweza kusogeza faili lake nene lililomfanya hata mwendazake amuone kaa la moto na kuamua kumuokoa ni amtose kwa kucheza ile movie kali kabisa ya Kigamboni 2020.

Hata Dr. Bashiru Ally alijua lile ni bonge la movie kali la mwaka liendalo kwa jina Kigamboni 2020

 
Hapa mama ametekeleza ile kauli yake kwamba "ukimzingua mnazinguana".

Miaka hii minne iliyobaki vyombo vya sheria vitatenda na kuonekana kutenda haki.Ila sema dosari kubwa ni huu uharifu ambao unaonekana umeongezeka hasa Dsm
 
Back
Top Bottom