Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Duh! Ila hii ndio njia nzuri ya kujenga vijana jeuri. Vijana waoga ndio hutii kila amri lakini sasa vijana watajifunza kuwa kuna matokeo kwenye kila anachofanya. Vijana wote, bila kujali vyama lazima uwe na mipaka badala ya kufikiri yupo mtu atakulinda daima.
Mlishangilia sana kipindi cha Mwendazake sasa Kazi imeesnza.....
 
Kuna watu unaweza kukuta huko makazini kwao nao pia wanapiga hela ambazo sio za halali au hata kudhulumu watu ila na wao wapo kwenye hii thd wakishangilia mwenzao kupatikana na misuko suko!


Kila mtu ajitizame,je yeye ni msafi? Kabla ya kumnyooshea mwenzako kidole hakikisha kwanza wewe vidole vyako ni visafi.

Kila mtu atavuna anacho panda,kama sio hapa Duniani basi ni mbinguni siku ya hukumu.

Mkuu kama unakula hela zisizo halali basi zile kimya kimya, siyo uzile kwa matambo na kujidai.
 
Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?

Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Unasemaje,rudia maneno hayo kama una maanisha ukisemacho.
 
Mambo juu ya mambo

Sio utani, tusilojua ni usiku wa giza. Mabeberu wanaweza kusogeza faili lake nene lililomfanya hata mwendazake amuone kaa la moto na kuamua kumuokoa ni amtose kwa kucheza ile movie kali kabisa ya Kigamboni 2020.
Hili nalo neno.....ila mi naamini siku zake zaja

Very soon, hasa wamarekani watampush maza mpaka apelekwe The Hague

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kusema kweli watu tunajisahau pale unaposhika hatamu ya madaraka au pesa.

Mifano tunayo mingi mengine kila siku inasimuliwa!

Leo kutoka kuwa nguvu za madaraka na leo kuwa mahabusu kama raia wengine.

Kwa sabaya kesi alizonazo akishinda basi hana mungu wake.maana kama watu wakitaka kila mmoja kutoa hushaidi walivyofanyiwa na sabaya kunawezekana jamaa akaja kusikia chato ni dubai sasa
 
Siku zaenda mbio... Mwana mamaaa.... (Wimbo gani huo tena?).

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.

Waliokuwa wanamlinda leo wanamwambia “wewe piga magoti”
 
Hili nalo neno.....ila mi naamini siku zake zaja

Very soon, hasa wamarekani watampush maza mpaka apelekwe The Hague

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
https://www.thecitizen.co.tz › ta...
Tanzania's Paul Makonda barred from US for rights 'violations' - The ...

1 Feb 2020 — Summary · The US said the sanctions on Paul Christian Makonda, the Regional Commissioner of Dar es Salaam,
Yupo ktk listi ya vikwazo, hawezi vuka mpaka watamdaka. Tegemeo lake lilikuwa la mwendazake lakini Mungu alimpenda zaidi, hivyo huyu Mkuu wa mkoa wa zamani yupo pekeyake hana mtetezi.

 
Hiyo picha ikutafakarishe mtu yeyote utakayeiona.

Tambua ya kuwa nafasi uliyonayo ni ya muda tu. Hata kama utaishikilia mpaka mwisho wa uhai wako, ipo mahali utalipwa kutokana na matendo yako.

Busara zikuongoze utende haki na muombe Mungu akusimamie.

Majivuni na ukatili hayana lolote bora la kulipalilia.

Jana ulikuwa ukiwaamuru polisi na kukupigia salute, leo wanakupigisha magoti na pingu mkononi.
Yanawaingia basi?
Wakipata madaraka masikio yanawasimama utdhani vile ng'ombe jike akiwa kwenye heat.
 
Back
Top Bottom