Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?

Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Ili usikimbie maana unakuwa huna pingu
 
Bwana Hamduni asiwe tu analipa kisasi, full stop. "Maana alipo walikuwepo wengine", the same thing can also hapen to him hasa kwa Nchi hii ambayo usafi au ubaya wa high profile citzens unategemea na nani yupo Magogoni.
Ndiyo maana wakati Sabaya anaingia bila shaka atakutana mlangoni na Harbinger Seth akitoka.
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakisubiri kupandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa.


View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807937
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Leo sabaya ana pingu aiseee usimutegemee mwanadamu hata siku moja aliyemupa jeuri leo hayupo
 
Shetani ana maguvu sana Dunia hii !

yaani mafisadi wakitaka kitu lazima kitimie mpaka wakahakikisha Magufuli amesepa.

si mchezo...



mbona hawaweki wazi aliyoyafanya?
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri


View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807937
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Bado Bashite sasa dadeki!
 
Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Hata mwendazake kuna siku angeficha uso, amshukuru tu Mungu
 
Hawa TAKUKURU wanaweza kuwasilisha ushahidi dhaifu halafu mwisho wa siku anaachiwa.
Hata akiachiwa kwa udhaifu wa ushahidi. Fresh tu. Ila siku ya leo mahabusu wa CHADEMA na ACT aliowafunga Gereza La Kisongo lazima wapeane zamu ya kumpeleka kwa mpalange.

Hata akiachiwa kesho, heshima na ulemavu atakaobakia nao ni wa maisha.
 
Back
Top Bottom