Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi amini kabisa kuwa haya yote yanatokea ndani ya miezi miwili tu.. 60 days[emoji134][emoji134][emoji849][emoji849]Dunia inazunguka kwa kasi sana siku hizi.
Hahahaha Mungu huyu!!Kumbe sio mzaha, pole yake maana alidhan baba atadumu milele
We mdada hebu acha uchochezi, acha kunichongea kwa Ma Samia bana, mi si nlishatumbuliwa kitambo na marehemu. Hapa nlipo nipo mtaani sina mchongo kama chawa, kupumua kwe jeki, kuhema kwa pampu.
Arusha juzi kati na michips huyo anaruka border mpaka Nairobi..imeishaa hiyooBado Makonda
Kazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?Bastola zinamuhusu yeye sasa, alizoea kuwatolea wenzakeView attachment 1807939
Hiyo ni signal ya Maandalizi....Bado Makonda
Amemuua nani?????Mpiganaji muuaji.
Hiyo picha ikutafakarishe mtu yeyote utakayeiona.
Tambua ya kuwa nafasi uliyonayo ni ya muda tu. Hata kama utaishikilia mpaka mwisho wa uhai wako, ipo mahali utalipwa kutokana na matendo yako.
Busara zikuongoze utende haki na muombe Mungu akusimamie.
Majivuni na ukatili hayana lolote bora la kulipalilia.
Jana ulikuwa ukiwaamuru polisi na kukupigia salute, leo wanakupigisha magoti na pingu mkononi.
Daaah jamaa alikuwa na majigambo huyu....hotuba zake tu mara utasikia ' nonsense, wapuuziBastola zinamuhusu yeye sasa, alizoea kuwatolea wenzakeView attachment 1807939