Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Kumbe sio mzaha, pole yake maana alidhan baba atadumu milele
Hahahaha Mungu huyu!!

IMG-20210604-WA0029.jpg


IMG-20210604-WA0027.jpg
 
Wapi Bashite...usitoroke tu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
We mdada hebu acha uchochezi, acha kunichongea kwa Ma Samia bana, mi si nlishatumbuliwa kitambo na marehemu. Hapa nlipo nipo mtaani sina mchongo kama chawa, kupumua kwe jeki, kuhema kwa pampu.
JamiiForums1643637876.jpg

Huyu akipelekwa Segerea watamgawana huko. Akitoka atakua na hips kubwa kuliko hata witnessj .[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Duh! Ila hii ndio njia nzuri ya kujenga vijana jeuri. Vijana waoga ndio hutii kila amri lakini sasa vijana watajifunza kuwa kuna matokeo kwenye kila anachofanya. Vijana wote, bila kujali vyama lazima uwe na mipaka badala ya kufikiri yupo mtu atakulinda daima.
 
Kuna watu unaweza kukuta huko makazini kwao nao pia wanapiga hela ambazo sio za halali au hata kudhulumu watu ila na wao wapo kwenye hii thd wakishangilia mwenzao kupatikana na misuko suko!


Kila mtu ajitizame,je yeye ni msafi? Kabla ya kumnyooshea mwenzako kidole hakikisha kwanza wewe vidole vyako ni visafi.

Kila mtu atavuna anacho panda,kama sio hapa Duniani basi ni mbinguni siku ya hukumu.
 
Hiyo picha ikutafakarishe mtu yeyote utakayeiona.

Tambua ya kuwa nafasi uliyonayo ni ya muda tu. Hata kama utaishikilia mpaka mwisho wa uhai wako, ipo mahali utalipwa kutokana na matendo yako.

Busara zikuongoze utende haki na muombe Mungu akusimamie.

Majivuni na ukatili hayana lolote bora la kulipalilia.

Jana ulikuwa ukiwaamuru polisi na kukupigia salute, leo wanakupigisha magoti na pingu mkononi.

Amina.
 
Back
Top Bottom