Kile kilio cha chozi moja sio cha nchi hiiSafi sana! Na hili liwe fundisho kwa wale wote wanaofikiri cheo ndio fursa ya kunyannyasa wengine!
Nawaza wale wanawake 40 waliojitokeza na kudaiwa kubakwa, hapo ana kesi zaidi ya 80 za ubakaji, Pia kuna kesi za kupora wafannya iashara! Ana kesi pia za kupokea huduma bila malipo! ............Kwakweli Mwendazake alicheza kete mbaya sana kuweka jitu kama hili likaongoze wananchi wanyonge!
Mpuuzi kabisa huyo, walikuwa wanamlinda leo wanampeleka mahakamani
We ni kenge kabisa!Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
unyama kama upi?Kwako jimbo ni mhimu kuliko unyama aliyowatendea watu?
Ndiyo hiyo Police General Order'sPolisi wanajua zaidi ,yeye si wa kwanza kuchuchumalishwa
no retreat no surrenderKila mtu atavuna anachopanda
Unajua nguvu ya Rais na Taasisi ya Urais?Mkuu umesahau mama hawezi mgusa msukuma yeyote atacheza na hao masai na makabila mengine ila sukuma gang akiwagusa hata watu 10 tu hana uraisi
Dogo acha uwoga rudi uendelee kuchangia. MMalipo ni hapahapa duniani
Nalog off
Mjuba Ni shujaa Wa Maisha Yake Aiseeeeh, Hizi Mishe za Mahakamani hajaanza LeoIla huyu jamaa binafsi namuona shujaa kwenye maisha yake.
Sina la ziada pole Sana kila kitu temporary tuu kesho Kuna ukurasa mwingine utafunguliwa
akili za matagaNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Mbona wengi tu wanafikishwa na pingu? ajutie udharimu wake aliowafanyia watuKumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.
PKaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Wanabodi, Tanzania ni nchi yenye katiba inayoendeshwa kwa misingi ya haki, the rule of law kwa kufuata misingi ya sheria, taratibu na kanuni. Kwenye kila jambo linatekelezwa kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni, mahakamani ni mahali pa kutoa haki, tunaomba usiruhusu vyumba na maeneo ya...www.jamiiforums.com
Kumbe huko CCM kupora watu ndio upiganaji?Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Cheo ni dhamana!Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri
Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021 Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo. Pia soma: Mtozi Alloyce...www.jamiiforums.com
Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma - Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma - Ole Sabaya apanga kutoroka...www.jamiiforums.com View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Shangaa na wewe..
NasmKiongozi kuongozana na mabaunsa, maana yake utawalipa nini kama hutafanya uhalifu ! Mambo juu ya mambo.
NaaamKiongozi kuongozana na mabaunsa, maana yake utawalipa nini kama hutafanya uhalifu ! Mambo juu ya mambo.
Twin hatari, kweli maisha yanabadilika haraka alivyokua kiburi huyu Sabaya!! kwanza wasimpe dhamana akae huko huko!!Simara
Makiseo
Evelyn Salt
Nuzulati
Raynavero
Dinazarde
BAK
cocastic
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app