Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Natamani kumuona Muruto alie kuwa Rpc Dodoma nae atuambie nani alimpiga lissu risasi.
Pia Ndugai naamini kuna siku atatuambia aliapa kuilinda katiba gani?
Ni swala la muda tu, Sabaya mwenyewe hakujua kama mambo yatakua hivi.....
mungu wao huko kaburini atakua anasweat kwa hasira
 
Hapana.

Visa vyake vilini crush vya kutosha.

Nipo hoves kabisa
Hahaa. Anakutazama kwa huruma
IMG_20210604_143651.jpg
 
Haya mambo haya daaah, nimejikuta namhurumia bila sababu ya kumhurumia.
 
Mjuba Ni shujaa Wa Maisha Yake Aiseeeeh, Hizi Mishe za Mahakamani hajaanza Leo
Tena kubwa tuu akiwa Hana security yoyote Wala chochote mfukoni au watu wa maana wanaonizunguka sembuse hili tena akiwa mwakilishi wa Rais katika wilaya na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wilaya unafungwaje hapo Sasa?
 
Nilivyomsikia mama Samia akitolea mfano wa RC mama Mghwira "alivyosumbuliwa" na wakuu wa wilaya, nilijua kuna kitu kilikuwa kinatokota na hakijaanza leo!
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Sabaya alikuwa jambazi halafu ni shoga// Ilo wengi hawalijui
 
Kumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.
P
Ushawahi ona Mdude akiwa Mahakamani?
 
Jidanganye bloo kule hakufai pasikie tu

Nishaenda mara 4, hapafai, ila nachosema Hakuna uonevu Kati ya mfungwa na mfungwa! Tena nimeenda Kisongo pale pale!

Mfumo wa pale una uongozi dhabiti sana sana! Viongozi na nyapara wanaweza leta shida now and then, but mfungwa wa kawaida na mfungwa Hakuna uonevu!
 
Wale wote walioonewa na kudhulumiwa haki zao na huyu gaidi aliyepewa madaraka na kuyatumia vibaya wajitokeze kwa wingi kutoa ushahidi ili huyu afungwe iwe fundisho kwa KINA MNYETI HAPPI MAKONDA KASESERA NA WENGINEO
 
Back
Top Bottom