Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Kwakuwa unaamini JPM alikuwa Mungu hana makosa sio?

Unakumbuka alivyomuacha Makonda katikati ya saga la vyeti feki?
 
Nabii Lema alimuonya
 
Umesahau yeye alivyokuwa anajirekodi na makamera wakati anaonea watu? Ilikuwa haki ile?
 
Acha use.nge...
Leo analala na basha moja pale Kisongo,mlidhani nchi ya baba yenu hii.
 
Huyu dogo kushikiliwa week moja tu kakonda hivi, akianza zile route za makosa hayana dhamana, and kesi itatajwa tena mwezi wa kumi si atabaki mifupa kabisa. And yet wanasema wamasai majasiri, ujasiri gani alionao anakonda kibwegebwege hivi
 

sabaya aliishalala mahabusu kabla ya kuwa DC,msiwe vilaza namna hii.

yaani ccm inaanua ijipigie wapi sawa tu,maana ina watazamaji mazezeta fulani hivi.
 
Mungu anasema,mkifuata maagizo yangu na kunipenda na kumpenda jirani yako kama nafsi yako ,nitakulinda usifikwe na mabaya kabisa.Je ni nani apandaye mahindi akavuna mbaazi?;Mshahara wa dhambi ni mauti.Hakika Mungu ni Mwema na yupo kila mahali.Tujifunze kutenda mema tungali hai ili tukifa tuache mema yetu yakitushuhudia.Eeh mwenyezi Mungu tuangazie tujue mapungufu yetu na kuyaacha.
 
You must be sick upstairs....
CCM ndo ilimtuma...??
Nyie ndo wale akina uvccm waliosema safari hii Lissu haponi mtatumia sindano...
Era ya katili mwenzenu gone . ..
Malipo hapa hapa duniani

kwani lissu karudi??
 

Economic case no 27/2021 pole yake. Leo kama sio yeye yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…