Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utaniMashtaka 4
1. Matumizi mabaya ya ofisi.
2. Uhujumu uchumi.
3. Unyang'anyi wa kutumia silaha.
4. Rushwa.
Waziri mkuu na spika. Ila hakuna kinga ya kifo.Siku hizi hata Ndugai ana kinga....!!
We jasusi vipi bhana?Tecnolojia imekua usitake kutavuniwa kila kitu
Wewe ndio yule baunza wake wa tatu au mkewe?Hana shida, ni wivu wetu tu Mkuu.
hii hapaNa wewe pia ni jasusi wa huko Tanganyika?
Do you have an ID?
Hebu tuone!
Kwahiyo kwako it was ok kwasababu aliumiza sana upinzani?Madhambi ya Sabaya hayakuchagua chama , hata hivyo aliwaumiza sana upinzani kuliko maccm
Rais Magufuli alijitahidi sana kuajili majambazi kwenye ofisi za umma.Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)
Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
na bado kabla ya kuingia gerezani lazima avuliwe nguo zote wapekenyue hadi naniiSawa mkuu,ila nadhani hapo hawajadhalilishwa ila utaratibu tu umefuatwa. Kama ndio utaratibu unaokubalika kwa walalahoi wenye makosa sawa na yao nadhani hakuna tatizo.
Mawazo yangu binafsi.
Huu wivu mbona wa ajabu sana?Hana shida, ni wivu wetu tu Mkuu.
NIko ngarinaroo namalizia nikapande kimandolu kuna kwaya bar wanaimba mjimzuriii wametaaametaaa.....Mi navuta muda nikapige Serengeti na nyama choma Leo hadi majogoo,
SAMIA katufurahisha sana, bado makonda
Wewe hawawezi kukuajiri huko kwa majasusi!
Yah right....!!Waziri mkuu na spika. Ila hakuna kinga ya kifo.
Fuatilia hanari,amesomewa mashtaka sita,ikiwamo uhujumu Uchumi,Rushwa,na unyang'anyi wa kutimia silahaShida yake haswa ni nini?
Na wewe pia ni jasusi wa huko Tanzania?
Unaweza kuwa sahihi. Tusubiri mahakama itatoa majibu ya hisia zako.Binafsi naona hizi ni kama Speculations na Negativity Conspiracies bila Tangible evidences against Huyu jamaa
Wewe haukuwa miongoni mwa wale majasusi wa twirrah?
Aliowaumiza kwako hawahitaji kupata haki zao siyo ?Kama Mh. Rais ataacha haki ipatikane binafsi niseme namwona sana huruma Sabaya