Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
DAB imfikie kwenye file aionePicha hiyo ikutafakarishe mtu yeyote utakayeiona.
Tambua ya kuwa nafasi uliyonayo ni ya muda tu. Hata kama utaishikilia mpaka mwisho wa uhai wako, ipo mahali utalipwa kutokana na matendo yako.
Busara zikuongoze utende haki na muombe Mungu akusimamie.
Majivuni na ukatili hayana lolote bora la kulipalilia.
Jana ulikuwa ukiwaamuru polisi na kukupigia salute, leo wanakupigisha magoti na pingu mkononi.