Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Sabaya yupo mikononi kwa watu sahihi hilo halina ubishi lakini serikali aitakiwi kupeleka vinywaji kwenye sherehe ya walioumwiza.
Jukumu la serikali ni kumchukulia hatua za kisheria, sio kutengeneza mazingira ya kumdhalilisha kama kwenye hizo picha.
Halafu pia niliwahi kusoma mahali kwamba mahakama za huko Tanzania haziko huru!Subiri hukumu ya mahakama. Kama kaonewa haki itapatikana.
Wewe ni mke wa Sabaya?????Ila huyu jamaa binafsi namuona shujaa kwenye maisha yake.
Sina la ziada pole Sana kila kitu temporary tuu kesho Kuna ukurasa mwingine utafunguliwa
Ata wao wenyewe hawajui alichokifanya ila utawasikia " na asurubiwe"Nyinyi majasusi wa twirrah mtuambie!
Maana ndio mlikuwa vinara wa kumuandama humu.
Amefanya lipi hasa? —maana wengi wetu hatuelewi.
Majasusi uchwara wa mitandaoni walimuandama sana huyu Sabaya.Mimi nahisi kuna chuki binafsi kuanzia kwenye uongozi wa juu..sio bure...kwa sababu kwa namna linavyoengelewa hili swala na ushaidi uliopo haviendani kabisa...mimi sijawahi kuona clip akimnyang'anya mtu pesa au kuvamia nq kuiba
Nenda jehanam kwa yule dhalim atakujibu vizuri kwani ndiye alikuwa anamtuma. Please nenda kuzimu utapa majibu usisumbue tena.Hiyo takukuru ilikuja baadae sana!
Kabla ya hapo kuna multiple ID's zilikuwa zinamuandama sana mitandaoni!
Sijui kabaka wanachama wa bavicha?
What happened exactly?
Kwa muda sasa nimekuwa nikisikia tuhuma mbalimbali zikielekezwa kwa huyu mtu anayeitwa Ole Sabaya — Mkuu wa Wilaya ya Hai (by then).
Sijui ni ugoigoi wangu huu ama elimu duni niliyonayo inayonifanya nisielewe hasa kiini cha jinamizi linalomuandama huyu mtu?
Mwanzoni, nilikuwa namfahamu sabaya kama Kijana jasiri, shupavu, anayejiamini, na aliyefanya kazi chini ya falsafa madhubuti za Rais Magufuli za uchapa kazi na uwajibishaji wa mafisadi yaliyoitafuna nchi hii.
Kwa kadiri ya vyombo vya habari vilivyomripoti, alikuwa anaonekana ni kiongozi anayeshughulikia ujambazi kwa wakati mwingi - eg, ukamataji wa madawa ya kulevya, mabangi, fedha bandia nk...
Zaidi ya yote, alionekana ni kiongozi aliyehusika kwa kiwango kikubwa kukipaisha chama cha mapinduzi na kukiweka kwenye chati, huku akiwashughulikia wapinzani kwa namna za hapa na pale.
Hivi karibuni, baada ya Rais Magufuli Kufariki dunia, huyu Kijana amekuwa akizongwa na majinamizi yaliyoibuka kutoka pasipojulikana.
Kuna wale majasusi wa twitter (wenyewe wanaitwa Twirrah) ndio walikuwa vinara wa kuibua shutuma na tuhuma za hapa na pale.
Ukiachana na hawa majasusi uchwara wa twirrah, kulikuwa na jopo kubwa la multiple ID's Jamiiforums na kwenye mitandao mingine ambazo zilikuwa zinamuandama mpaka hapo aliposimamishwa kazi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Hizi tuhuma za mitandaoni, kwa bahati mbaya, hazina ithibati yoyote.
Mimi binafsi huwa napenda kufuatilia mambo na kujiridhisha pasipo shaka kuhusu ukweli na uhalali wake. Sipendi kurukia rukia tu habari.
Kuna majasusi wengine kutoka twirrah wanasema sabaya kabaka wanawake mia mbili. Wengine wanasema sijui kalawiti makada wa chadema.
Stori zimekuwa nyingi sana bila ushahidi kuwekwa hadharani. Kila mtu anaibuka na lake.
Zamani nilisikia pia hata humu kuna majasusi (wanaitwa sijui TISS?) — Ningefurahi kama wangetujuza kwa hakika kuhusu tatizo alilonalo huyu mtu wa kuitwa Sabaya.
Kwa sisi wenye akili duni zisizoweza kuchambua mambo kwa ufasaha tumebaki kwenye mshangao bila kuelewa ni nini hasa tatizo!
Tunaangalia tu huko twirrah kila mtu anasema lake.
Huyu huyu mkuu....Huyu pascal ndiye aliyemchongea Kabendera kwa Katili Magufuli mpaka akaswekwa gerezani...Mama Kabendera akiwa mgonjwa alimuombea mwanae kwa Katili magufuli msamehe ili Kabendera aendelee ku-fund matibabu yake lakini alikataliwa..pascal mayala huyu huyu?
Afadhali unajitambua hali yakoKwa muda sasa nimekuwa nikisikia tuhuma mbalimbali zikielekezwa kwa huyu mtu anayeitwa Ole Sabaya — Mkuu wa Wilaya ya Hai (by then).
Sijui ni ugoigoi wangu huu ama elimu duni niliyonayo inayonifanya nisielewe hasa kiini cha jinamizi linalomuandama huyu mtu?
Mwanzoni, nilikuwa namfahamu sabaya kama Kijana jasiri, shupavu, anayejiamini, na aliyefanya kazi chini ya falsafa madhubuti za Rais Magufuli za uchapa kazi na uwajibishaji wa mafisadi yaliyoitafuna nchi hii.
Kwa kadiri ya vyombo vya habari vilivyomripoti, alikuwa anaonekana ni kiongozi anayeshughulikia ujambazi kwa wakati mwingi - eg, ukamataji wa madawa ya kulevya, mabangi, fedha bandia nk...
Zaidi ya yote, alionekana ni kiongozi aliyehusika kwa kiwango kikubwa kukipaisha chama cha mapinduzi na kukiweka kwenye chati, huku akiwashughulikia wapinzani kwa namna za hapa na pale.
Hivi karibuni, baada ya Rais Magufuli Kufariki dunia, huyu Kijana amekuwa akizongwa na majinamizi yaliyoibuka kutoka pasipojulikana.
Kuna wale majasusi wa twitter (wenyewe wanaitwa Twirrah) ndio walikuwa vinara wa kuibua shutuma na tuhuma za hapa na pale.
Ukiachana na hawa majasusi uchwara wa twirrah, kulikuwa na jopo kubwa la multiple ID's Jamiiforums na kwenye mitandao mingine ambazo zilikuwa zinamuandama mpaka hapo aliposimamishwa kazi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Hizi tuhuma za mitandaoni, kwa bahati mbaya, hazina ithibati yoyote.
Mimi binafsi huwa napenda kufuatilia mambo na kujiridhisha pasipo shaka kuhusu ukweli na uhalali wake. Sipendi kurukia rukia tu habari.
Kuna majasusi wengine kutoka twirrah wanasema sabaya kabaka wanawake mia mbili. Wengine wanasema sijui kalawiti makada wa chadema.
Stori zimekuwa nyingi sana bila ushahidi kuwekwa hadharani. Kila mtu anaibuka na lake.
Zamani nilisikia pia hata humu kuna majasusi (wanaitwa sijui TISS?) — Ningefurahi kama wangetujuza kwa hakika kuhusu tatizo alilonalo huyu mtu wa kuitwa Sabaya.
Kwa sisi wenye akili duni zisizoweza kuchambua mambo kwa ufasaha tumebaki kwenye mshangao bila kuelewa ni nini hasa tatizo!
Tunaangalia tu huko twirrah kila mtu anasema lake.
Hakuna anyeshangilia, tunaumia na mateso yaliyosababishwa na hawa watu. Ndiyo maana Lisu amesema Sabaya atendewe haki, asiwekwe ndani zaidi ya sheria inavyoaka.Hahahaaaa...... Chadema mnashangilia kama mmeshinda ubunge vile!
Mkuu acha papara hadi amefikishwa mahakamani maana yake uchunguzi dhidi yake umekamilika na ana kesi yakujibu.Alifanya ugaidi upi?
Any available evidence please?
Inachekesha sana.Ata wao wenyewe hawajui alichokifanya ila utawasikia " na asurubiwe"
Tatizo lako unaongea kama umekalia kitu chenye ncha kali
Dah basi ndio maana hapati teuzi zozoteHuyu huyu mkuu....Huyu pascal ndiye aliyemchongea Kabendera kwa Katili Magufuli mpaka akaswekwa gerezani...Mama Kabendera akiwa mgonjwa alimuombea mwanae kwa Katili magufuli msamehe ili Kabendera aendelee ku-fund matibabu yake lakini alikataliwa..
Mwisho wa siku mama wa watu alijifia....Na jinsi walivyomakatili wakamzua Kabendera kwenda kumzika mama yake.
Yote haya yamesababishwa na Pascal
Hata wanachama wa chadema walikuwa wanapelekwa mahakamani kwa makosa hayo hayo.Mkuu acha papara hadi amefikishwa mahakamani maana yake uchunguzi dhidi yake umekamilika na ana kesi yakujibu.
Kama hana hatia ataachiwa huru ondoa hofu.
CCM oyeeeeeeSiku zinaenda kasi sana kwa kweli, nilikuwa najua wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ni maafisa usalama kwamba hawashitakiwi kwenye mahakama za raia wa kawaida...Kumbe ni wenzetu tu ambao wanajisahau wapatapo vyeo...🤣
Jamhuri ikitaka kutotenda haki hakutakuwa na la kufanya. Justice delay is justice denied. Hatakuwa wa kwanza kucheleweshewa haki yake.Halafu pia niliwahi kusoma mahali kwamba mahakama za huko Tanzania haziko huru!
Bavicha wengi walikuwa wanalia lia humu!
Hii imekaaje Bwana-Jasusi?
Tutegemee haki kutendeka ama?