Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Sabaya yupo mikononi kwa watu sahihi hilo halina ubishi lakini serikali aitakiwi kupeleka vinywaji kwenye sherehe ya walioumwiza.

Jukumu la serikali ni kumchukulia hatua za kisheria, sio kutengeneza mazingira ya kumdhalilisha kama kwenye hizo picha.

Naona umeumia sanaa
 
Mimi nahisi kuna chuki binafsi kuanzia kwenye uongozi wa juu..sio bure...kwa sababu kwa namna linavyoengelewa hili swala na ushaidi uliopo haviendani kabisa...mimi sijawahi kuona clip akimnyang'anya mtu pesa au kuvamia nq kuiba
Majasusi uchwara wa mitandaoni walimuandama sana huyu Sabaya.

Seems like there is a power struggle after the death of John Pombe Joseph Magufuli (the allegedly assassinated president).

Majitu yanatifuana tu huko Tanzania!

Inawezekana vipi shutuma za Twirrah ziwe ndio msingi wa mashtaka?

Any lunatic can say anything on internet!

Inawezekanaje mahakama ikawa ni chombo cha kupeleka mashtaka ya wendawazimu wa mitandaoni?

Ujinga mtupu!
 
Hiyo takukuru ilikuja baadae sana!

Kabla ya hapo kuna multiple ID's zilikuwa zinamuandama sana mitandaoni!

Sijui kabaka wanachama wa bavicha?

What happened exactly?
Nenda jehanam kwa yule dhalim atakujibu vizuri kwani ndiye alikuwa anamtuma. Please nenda kuzimu utapa majibu usisumbue tena.
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikisikia tuhuma mbalimbali zikielekezwa kwa huyu mtu anayeitwa Ole Sabaya — Mkuu wa Wilaya ya Hai (by then).

Sijui ni ugoigoi wangu huu ama elimu duni niliyonayo inayonifanya nisielewe hasa kiini cha jinamizi linalomuandama huyu mtu?

Mwanzoni, nilikuwa namfahamu sabaya kama Kijana jasiri, shupavu, anayejiamini, na aliyefanya kazi chini ya falsafa madhubuti za Rais Magufuli za uchapa kazi na uwajibishaji wa mafisadi yaliyoitafuna nchi hii.

Kwa kadiri ya vyombo vya habari vilivyomripoti, alikuwa anaonekana ni kiongozi anayeshughulikia ujambazi kwa wakati mwingi - eg, ukamataji wa madawa ya kulevya, mabangi, fedha bandia nk...

Zaidi ya yote, alionekana ni kiongozi aliyehusika kwa kiwango kikubwa kukipaisha chama cha mapinduzi na kukiweka kwenye chati, huku akiwashughulikia wapinzani kwa namna za hapa na pale.

Hivi karibuni, baada ya Rais Magufuli Kufariki dunia, huyu Kijana amekuwa akizongwa na majinamizi yaliyoibuka kutoka pasipojulikana.

Kuna wale majasusi wa twitter (wenyewe wanaitwa Twirrah) ndio walikuwa vinara wa kuibua shutuma na tuhuma za hapa na pale.

Ukiachana na hawa majasusi uchwara wa twirrah, kulikuwa na jopo kubwa la multiple ID's Jamiiforums na kwenye mitandao mingine ambazo zilikuwa zinamuandama mpaka hapo aliposimamishwa kazi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Hizi tuhuma za mitandaoni, kwa bahati mbaya, hazina ithibati yoyote.

Mimi binafsi huwa napenda kufuatilia mambo na kujiridhisha pasipo shaka kuhusu ukweli na uhalali wake. Sipendi kurukia rukia tu habari.

Kuna majasusi wengine kutoka twirrah wanasema sabaya kabaka wanawake mia mbili. Wengine wanasema sijui kalawiti makada wa chadema.

Stori zimekuwa nyingi sana bila ushahidi kuwekwa hadharani. Kila mtu anaibuka na lake.

Zamani nilisikia pia hata humu kuna majasusi (wanaitwa sijui TISS?) — Ningefurahi kama wangetujuza kwa hakika kuhusu tatizo alilonalo huyu mtu wa kuitwa Sabaya.

Kwa sisi wenye akili duni zisizoweza kuchambua mambo kwa ufasaha tumebaki kwenye mshangao bila kuelewa ni nini hasa tatizo!

Tunaangalia tu huko twirrah kila mtu anasema lake.
IMG-20210604-WA0119.jpg
 
pascal mayala huyu huyu?
Huyu huyu mkuu....Huyu pascal ndiye aliyemchongea Kabendera kwa Katili Magufuli mpaka akaswekwa gerezani...Mama Kabendera akiwa mgonjwa alimuombea mwanae kwa Katili magufuli msamehe ili Kabendera aendelee ku-fund matibabu yake lakini alikataliwa..

Mwisho wa siku mama wa watu alijifia....Na jinsi walivyomakatili wakamzua Kabendera kwenda kumzika mama yake.

Yote haya yamesababishwa na Pascal
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikisikia tuhuma mbalimbali zikielekezwa kwa huyu mtu anayeitwa Ole Sabaya — Mkuu wa Wilaya ya Hai (by then).

Sijui ni ugoigoi wangu huu ama elimu duni niliyonayo inayonifanya nisielewe hasa kiini cha jinamizi linalomuandama huyu mtu?

Mwanzoni, nilikuwa namfahamu sabaya kama Kijana jasiri, shupavu, anayejiamini, na aliyefanya kazi chini ya falsafa madhubuti za Rais Magufuli za uchapa kazi na uwajibishaji wa mafisadi yaliyoitafuna nchi hii.

Kwa kadiri ya vyombo vya habari vilivyomripoti, alikuwa anaonekana ni kiongozi anayeshughulikia ujambazi kwa wakati mwingi - eg, ukamataji wa madawa ya kulevya, mabangi, fedha bandia nk...

Zaidi ya yote, alionekana ni kiongozi aliyehusika kwa kiwango kikubwa kukipaisha chama cha mapinduzi na kukiweka kwenye chati, huku akiwashughulikia wapinzani kwa namna za hapa na pale.

Hivi karibuni, baada ya Rais Magufuli Kufariki dunia, huyu Kijana amekuwa akizongwa na majinamizi yaliyoibuka kutoka pasipojulikana.

Kuna wale majasusi wa twitter (wenyewe wanaitwa Twirrah) ndio walikuwa vinara wa kuibua shutuma na tuhuma za hapa na pale.

Ukiachana na hawa majasusi uchwara wa twirrah, kulikuwa na jopo kubwa la multiple ID's Jamiiforums na kwenye mitandao mingine ambazo zilikuwa zinamuandama mpaka hapo aliposimamishwa kazi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Hizi tuhuma za mitandaoni, kwa bahati mbaya, hazina ithibati yoyote.

Mimi binafsi huwa napenda kufuatilia mambo na kujiridhisha pasipo shaka kuhusu ukweli na uhalali wake. Sipendi kurukia rukia tu habari.

Kuna majasusi wengine kutoka twirrah wanasema sabaya kabaka wanawake mia mbili. Wengine wanasema sijui kalawiti makada wa chadema.

Stori zimekuwa nyingi sana bila ushahidi kuwekwa hadharani. Kila mtu anaibuka na lake.

Zamani nilisikia pia hata humu kuna majasusi (wanaitwa sijui TISS?) — Ningefurahi kama wangetujuza kwa hakika kuhusu tatizo alilonalo huyu mtu wa kuitwa Sabaya.

Kwa sisi wenye akili duni zisizoweza kuchambua mambo kwa ufasaha tumebaki kwenye mshangao bila kuelewa ni nini hasa tatizo!

Tunaangalia tu huko twirrah kila mtu anasema lake.
Afadhali unajitambua hali yako
 
Siku zinaenda kasi sana kwa kweli, nilikuwa najua wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ni maafisa usalama kwamba hawashitakiwi kwenye mahakama za raia wa kawaida...Kumbe ni wenzetu tu ambao wanajisahau wapatapo vyeo...🤣
 
Huyu huyu mkuu....Huyu pascal ndiye aliyemchongea Kabendera kwa Katili Magufuli mpaka akaswekwa gerezani...Mama Kabendera akiwa mgonjwa alimuombea mwanae kwa Katili magufuli msamehe ili Kabendera aendelee ku-fund matibabu yake lakini alikataliwa..

Mwisho wa siku mama wa watu alijifia....Na jinsi walivyomakatili wakamzua Kabendera kwenda kumzika mama yake.

Yote haya yamesababishwa na Pascal
Dah basi ndio maana hapati teuzi zozote
 
Mkuu acha papara hadi amefikishwa mahakamani maana yake uchunguzi dhidi yake umekamilika na ana kesi yakujibu.
Kama hana hatia ataachiwa huru ondoa hofu.
Hata wanachama wa chadema walikuwa wanapelekwa mahakamani kwa makosa hayo hayo.

Na wengi wenu mkawa mnalia lia humu kwamba eti wamebambikiwa?

Ni kipi hasa cha tofauti sasa?
 
Siku zinaenda kasi sana kwa kweli, nilikuwa najua wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ni maafisa usalama kwamba hawashitakiwi kwenye mahakama za raia wa kawaida...Kumbe ni wenzetu tu ambao wanajisahau wapatapo vyeo...🤣
CCM oyeeeeee

IMG_20210604_140742.jpg
 
Ukitembea na mke wa mtu jua kuna watu watatembea na mkeo siku moja,ukitembea na watoto wa shule ujue binti yako kuna siku watu watakuja wamle akiwa anasoma shule
 
Habari.

Ole Sabaya kwenye vyombo vya habari na mtaani ndio anafunga week na wakati huo huo atafungua week.

Tuzungumze pamoja na yote yaliyotokea juu ya kijana huyu mdogo Ole Sabaya?

Vijana punguzeni hulka ya kupenda kuonekana sana hichi ndicho kilichomkuta kijana huyu mwenzenu.

"Greed for power na umaarufu" haya sasa ndicho alichokipata na atazunguzwa kweli kweli si alitafuta zungumzwa kwenye kika media.

Vijana jifunzeni kwa hichi kidogo msisherekee bila kujifinza kwa huyu kijana. Katika dunia wapo watu wamefanya mambo ya ajabu na deal mbaya mbaya ila ukimya wao umefanya wafiche yote hayo.


Ukiwa mropokaji basi dunia nayo inakuropokea.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
 
Halafu pia niliwahi kusoma mahali kwamba mahakama za huko Tanzania haziko huru!

Bavicha wengi walikuwa wanalia lia humu!

Hii imekaaje Bwana-Jasusi?

Tutegemee haki kutendeka ama?
Jamhuri ikitaka kutotenda haki hakutakuwa na la kufanya. Justice delay is justice denied. Hatakuwa wa kwanza kucheleweshewa haki yake.
Nb: Jina la Bwana jasusi si langu.
 
Back
Top Bottom