Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Natafuta Mwl wa kunifunza hii staili ya kulia, jicho moja nikiwa kavu lingine litoe chozi
tapatalk_1621025020602.jpg
 
Hili ni fundisho kwa wapumbavu wengine kutumia vibaya madaraka
Na kuwatumainia watu,kuna mpumbavu mmoja wa UVCCM nina hasira naye,nikiwa Rais 2040 ahame nchi, Vinginevyo nitambambikia kesi ya uhujumu uchumi
 
Picha hiyo ikutafakarishe mtu yeyote utakayeiona.

Tambua ya kuwa nafasi uliyonayo ni ya muda tu. Hata kama utaishikilia mpaka mwisho wa uhai wako, ipo mahali utalipwa kutokana na matendo yako.

Busara zikuongoze utende haki na muombe Mungu akusimamie.

Majivuni na ukatili hayana lolote bora la kulipalilia.

Jana ulikuwa ukiwaamuru polisi na kukupigia salute, leo wanakupigisha magoti na pingu mkononi.
Amini
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri


View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
RAMADHAN HAMDUNI, Mungu akupe haja ya moyo wako
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri


View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
The BEGINNING of the END.
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri


View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Nalazimika kuanza kuamini kwamba Godbless Lema huenda akawa kweli ni nabii au mtabiri.

Alimwambia Magufuli "utakufa!", akafa kweli.
Alimwambia Sabaya "utaishia pabaya!", jamaa leo ndiyo hivyo tena.

Dah..... Lema noma sana aisee!!
 
Duh[emoji848][emoji848][emoji848]acha nikae na maisha yangu haya ya kutoumiza watu hizi hizi mia mbili nazo pata zinatosha .Maana kujifanya Mungu mtu baadae unaishi kama digidigi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amini
 
Hapa selikari inabidi ichunguze ili suala kwa umakini sana na cha kwanza watoa taarifa wa makosa ya Sabaya nao wangechunguzwa kwanini Sabaya aonekane mkosefu wakati alikuwa anatimiza majukumu yake pia hiyo crip nimesikiliza nimeona kuna cha kujifunza, DPP aingilie hili suala kwa haraka sana hii ni fitna za watoa taarifa kumkomoa Sabaya kisa kuna watu fulani wamekosa majimbo wakati kura walipiga wananchi na sio Sabaya peke yake.
Polisi na Dpp wanajua wafanyalo subiri charge sheet unaweza kuduwaa ukisikia jamaa kakutwa na bilioni kadhaa bank au kwenye pipa nyumbani
 
Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Kuficha sura ni ishara kabisa ya nini kinaenda kutokea mbele.
 
Back
Top Bottom