Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe hausiki....Hakuna aliyewahi cheza na Mbowe akabakia salama heli ya gambo alikimbilia kwenye kupita bila kupingwa
Natafuta Mwl wa kunifunza hii staili ya kulia, jicho moja nikiwa kavu lingine litoe choziSiku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)
Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
Na kuwatumainia watu,kuna mpumbavu mmoja wa UVCCM nina hasira naye,nikiwa Rais 2040 ahame nchi, Vinginevyo nitambambikia kesi ya uhujumu uchumiHili ni fundisho kwa wapumbavu wengine kutumia vibaya madaraka
We utakua baunsa wa ole sabaya uliyesahaulika kukamatwaNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
AminiPicha hiyo ikutafakarishe mtu yeyote utakayeiona.
Tambua ya kuwa nafasi uliyonayo ni ya muda tu. Hata kama utaishikilia mpaka mwisho wa uhai wako, ipo mahali utalipwa kutokana na matendo yako.
Busara zikuongoze utende haki na muombe Mungu akusimamie.
Majivuni na ukatili hayana lolote bora la kulipalilia.
Jana ulikuwa ukiwaamuru polisi na kukupigia salute, leo wanakupigisha magoti na pingu mkononi.
RAMADHAN HAMDUNI, Mungu akupe haja ya moyo wakoAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri
Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021 Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo. Pia soma: Mtozi Alloyce...www.jamiiforums.com
Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma - Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma - Ole Sabaya apanga kutoroka...www.jamiiforums.com
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
The BEGINNING of the END.Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri
Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021 Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo. Pia soma: Mtozi Alloyce...www.jamiiforums.com
Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma - Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma - Ole Sabaya apanga kutoroka...www.jamiiforums.com
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Nalazimika kuanza kuamini kwamba Godbless Lema huenda akawa kweli ni nabii au mtabiri.Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabiri
Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021 Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo. Pia soma: Mtozi Alloyce...www.jamiiforums.com
Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma - Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma - Ole Sabaya apanga kutoroka...www.jamiiforums.com
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807970
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Kumtia hatiani mbakaji pia unatakiwa ushahidi uliojitosheleza.Ubakaji ni kesi mbaya sana ukizingatia bosi wa nchi kwa sasa ni mwanamama.
Alitukosea sana, Mungu akaingilia kati....Magufuli alitukosea sana watanzania
Sabaya na genge lakeeeNi nani huyu mkuu
AminiDuh[emoji848][emoji848][emoji848]acha nikae na maisha yangu haya ya kutoumiza watu hizi hizi mia mbili nazo pata zinatosha .Maana kujifanya Mungu mtu baadae unaishi kama digidigi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo alikuhakikishia kuwa hatatoroka? Unajua walimkamataje?Kibaka mwenye posibility ya kutoroka!.
P
Polisi na Dpp wanajua wafanyalo subiri charge sheet unaweza kuduwaa ukisikia jamaa kakutwa na bilioni kadhaa bank au kwenye pipa nyumbaniHapa selikari inabidi ichunguze ili suala kwa umakini sana na cha kwanza watoa taarifa wa makosa ya Sabaya nao wangechunguzwa kwanini Sabaya aonekane mkosefu wakati alikuwa anatimiza majukumu yake pia hiyo crip nimesikiliza nimeona kuna cha kujifunza, DPP aingilie hili suala kwa haraka sana hii ni fitna za watoa taarifa kumkomoa Sabaya kisa kuna watu fulani wamekosa majimbo wakati kura walipiga wananchi na sio Sabaya peke yake.
Kuficha sura ni ishara kabisa ya nini kinaenda kutokea mbele.Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)
Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.