Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
masalia ya SUKUMA GANG, huoni huruma mauaji aliyofanya SHETWAAN SAAMBAYA?

Mama yako angebakwa na kugeuzwa nyuma kama alivyofanya SABAYA ungefurahi?
 
Hapa selikari inabidi ichunguze ili suala kwa umakini sana na cha kwanza watoa taarifa wa makosa ya Sabaya nao wangechunguzwa kwanini Sabaya aonekane mkosefu wakati alikuwa anatimiza majukumu yake pia hiyo crip nimesikiliza nimeona kuna cha kujifunza, DPP aingilie hili suala kwa haraka sana hii ni fitna za watoa taarifa kumkomoa Sabaya kisa kuna watu fulani wamekosa majimbo wakati kura walipiga wananchi na sio Sabaya peke yake.
acheni kumtetea jambazi, mamboya kishenzi aliyokua anfanya ungefanyiwa weqwe au ndugu yako ungefurahia?
 
Hapa selikari inabidi ichunguze ili suala kwa umakini sana na cha kwanza watoa taarifa wa makosa ya Sabaya nao wangechunguzwa kwanini Sabaya aonekane mkosefu wakati alikuwa anatimiza majukumu yake pia hiyo crip nimesikiliza nimeona kuna cha kujifunza, DPP aingilie hili suala kwa haraka sana hii ni fitna za watoa taarifa kumkomoa Sabaya kisa kuna watu fulani wamekosa majimbo wakati kura walipiga wananchi na sio Sabaya peke yake.
Wewe ni mpuuzi
 
Safi kwa wahusika ila kesi za wengine pia muwe mnawaisha hivi, watu wanateseka mahabusu miaka file lipo kwa DPP.
 
Kumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.
P
Tuhuma zake zinastahili pingu kama watuhumiwa wengine....
 
Saa mbovu akitoka jela.
images (8).jpeg
 
Hivi kwanini amri isitoke apelekwe uwanjani ili wananchi wampige mawe hadi afe kwa mateso kama alivyowaachia wengine mateso?
 
Back
Top Bottom