Kanzastone
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 244
- 357
Sabaya ndo yupi kati ya hao 🖕?Bastola zinamuhusu yeye sasa, alizoea kuwatolea wenzakeView attachment 1807939
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya ndo yupi kati ya hao 🖕?Bastola zinamuhusu yeye sasa, alizoea kuwatolea wenzakeView attachment 1807939
Tofauti yao labda kulawiti, sijawahi kuisikia hii kwa makondaKwamba JPM hakuwa na makosa? Sabaya na Bashite ni pacha identical.
Umekula maharage ya wapi wewe?Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Kwa Makonda naweza kusema wale wote mnaoshabikia Makonda kuhusishwa na mashitaka kama yanayomkabiri Sabaya hayo ni maoni yao. Ila nataka kusema si kila mtu anayeonekana kutumikia taifa na kukawa na kusimamia masrahi ya wengi na kuvuruga masrahi ya kundi furani dogo eti ni lazima kushitakiwa la hasha, kwa maoni yangu tabia hii isiyo faa ya kuwaona viongozi hususani vijana wenye uthbutu kuwa ni waovu ni mbaya sana na itaua jitihada za viongozi vijana wanaoonesha uwezo wa kiongozi badala yake tutakuwa na viongoziMkuu umesahau mama hawezi mgusa msukuma yeyote atacheza na hao masai na makabila mengine ila sukuma gang akiwagusa hata watu 10 tu hana uraisi
Pole ya nini? Jambazi anapewa pole au kibano?Kumbe sio mzaha, pole yake maana alidhan baba atadumu milele.
Wezi wa mafuta bandarini washakamatwa?!Serikali ya mama Samia ni serikali ya haki.
Hakika unatufuta machozi mama
Makonda kwa jinai zake anaweza kuwa mtakatifu ila saa mbovu ni kubwa la mashetani.Tofauti yao labda kulawiti, sijawahi kuisikia hii kwa makonda
Ni bora kukosa ubunge au kuchuchumalishwa na mabastola hivyo huku ukiwa umeshatumbuliwa ukuu wa wilaya?Hata hivyo Mbowe siyo mbunge wa Hai tena.
Nilikuwa napenda ile rangi na urefu aisee sikuwa na faili lake.Hahaa aisee.
Na yule rc wa mtwara alidhani maisha yetu tunawekeza kwa mtu. Alipewa u rc kwa roho mbaya si kwa utendaji kaziBado Makonda
Watakamatwa soon!Wezi wa mafuta bandarini washakamatwa?!
firauni sabayaNi nani huyu mkuu