Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Mnasemaga tu kwa sababu hamjaenda magereza, magereza hakuna uonevu Kati na mfungwa na mfungwa! Hata iweje!

Magereza watu wana stress zao Mingi sana Hakuna huo mda kabisa, saa 9 ndani na ni Mwenda wa kufuata utaratibu!

Pia huyu muhuni mle ndani lazima kuna wahuni kibao wanaofahamiana naye! Hata kuwa na shida sana!
Yaani uraiani azingue watu alafu gerezani awe na washikaji? atapelekewa moto hio ipo wazi
 
Natamani kumuona Muruto alie kuwa Rpc Dodoma nae atuambie nani alimpiga lissu risasi.
Pia Ndugai naamini kuna siku atatuambia aliapa kuilinda katiba gani?
Mbona hatumuoni Ocd wa Hai? Maana yeye ndie alikuwa ana wafadhili hawa wahuni kuwapa wahuni silaha za serikali kufanyia wizi..
 
Kwa Makonda naweza kusema wale wote mnaoshabikia Makonda kuhusishwa na mashitaka kama yanayomkabiri Sabaya hayo ni maoni yao. Ila nataka kusema si kila mtu anayeonekana kutumikia taifa na kukawa na kusimamia masrahi ya wengi na kuvuruga masrahi ya kundi furani dogo eti ni lazima kushitakiwa la hasha, kwa maoni yangu tabia hii isiyo faa ya kuwaona viongozi hususani vijana wenye uthbutu kuwa ni waovu ni mbaya sana na itaua jitihada za viongozi vijana wanaoonesha uwezo wa kiongozi badala yake tutakuwa na viongozi
i) Wasiojisimamia kwa kile wanachokiamini kwa mjibu wa sheria
ii)Wanaoshindwa kutoa maamzi kwa kuwa mtu anayehusishwa ana nguvu katika jamii
iii) kuongeza kundi kubwa la viongozi wanafiki wasiojisimamia na wasiojiamini.
Hati ya mashtaka si ya uthubutu... kuna linalomfanya awe hapo alipo na si ujasiri na uthubutu alionao.
 
Wakati Lema anamuonya Sabaya mimi sikuwepo, naomba mazungumzo yao ya simu yarudiwe, yarudiwe, mazungumzo yarudiwe!!!!
 
Kuna watu unaweza kukuta huko makazini kwao nao pia wanapiga hela ambazo sio za halali au hata kudhulumu watu ila na wao wapo kwenye hii thd wakishangilia mwenzao kupatikana na misuko suko!


Kila mtu ajitizame,je yeye ni msafi? Kabla ya kumnyooshea mwenzako kidole hakikisha kwanza wewe vidole vyako ni visafi.

Kila mtu atavuna anacho panda,kama sio hapa Duniani basi ni mbinguni siku ya hukumu.

ogopa sana washangiliaji wa haya mambo,huwa ni nyoka wabaya sana.

kwa kawaida mtu mwema,huwa hafurahishwi na madhira kwa mtu mwingine.
 
Dg Wa Sasa Wa Takukuru Aliwahi Kufanya Kazi Na Sabaya na Kwa Wakati fulani Walizinguana Sana, DG Wa TPA Ndio Alikuwa Mtu Wa Kwanza Kuhojiwa Na Pccb Lakini Cha Ajabu sabaya kafikishwa Mahakamani Ila Kakonko mpaka Leo hajafikishwa Mahakamani... Kuna harufu ya Kukomoana Hapa.
 
Mnasemaga tu kwa sababu hamjaenda magereza, magereza hakuna uonevu Kati na mfungwa na mfungwa! Hata iweje!

Magereza watu wana stress zao Mingi sana Hakuna huo mda kabisa, saa 9 ndani na ni Mwenda wa kufuata utaratibu!

Pia huyu muhuni mle ndani lazima kuna wahuni kibao wanaofahamiana naye! Hata kuwa na shida sana!
Jidanganye bloo kule hakufai pasikie tu
 
Alishaambiwa Kuna karma akabisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom