Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.

Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana.

Narudia kwa sauti kubwa, watu huko "GEREZA LA KISONGO" wameshaanza shamra shamra za kumpokea "MWALI WAO". Maandalizi yanafanyika huku shangwe ikitamalaki na wafungwa wakijiburudisha na ule wimbo wa "Dada huyooo, kashaolewaaa!!! Na mahaariii, ishatolewaaa!!! mahariiii ishatolewaaaa!!!". Kungwi wa gereza anamsubiri ili amfunde ipasavyo.

● Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.

● Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah jaman lol.
 
Chuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.

We jamaaa taahira kweli yaan.
Hivi ni ubaya gani 7baya anafanyiwa?
Hayo ni malipo ya alichokifanya pindi akiwa madarakani. Tunatakiwa tujifunze kwamba cheo ni dhamana.

Wakati anayafanya yote hayo hakutegemea kabisa kama leo itakua hvo kama ambavyo wewe upo.

Jifunzeni kuwatendea mema wengine!!!!!
 
Sasa wakakamate na yule kereng'ende nyingine iliyojiita mungu wa daresalama
 
Kuna kabila limefanikiwa kuungana na kueneza chuki mbaya mitandaoni kuchochea mabaya kwa Sabaya. Inawezekana kweli kuna mapungufu ya Sabaya, lakini yamekuzwa mno (exaggeration)
Mbowe ana mapungufu mangapi? Ruzuku ya milioni zaidi ya 300 per month, imefanya nini ndani ya chama? Mbona kifo cha chacha Wangwe walipiga kimya?

Serikali iwe makini, ikifanya kazi kwa michecheto ya wanamtandao itaumiza watu, especially vijana wazalendo.

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Ni sinema tu,
Kumbuka Rose Kamili alifanyiwa unyama kwenye ofisi za CCM Iringa akiambiwa hii ndio dola.
Aliyeongoza unyama huo yupo bungeni anatunga sheria kupitia jimbo la Iringa,enzi hizo alikuwa Mkiti mkoa.
NINI KILITOKEA.Waulize huko Iringa
 
BADO MLA RAHA DUNIANI KULIKO KIUMBE YOYOTE

1622815867652.png
 
Back
Top Bottom