Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Kwa kifupi serikali aitakiwi kuwa na tabia za kusutana, kumuonyesha kiongozi kwa namna hiyo ni kama inashabikia ushambenga huku wakijua Sabaya katika nafasi yake alijitengezea maadui wengi kwa sababu mbalimbali (zingine hizo hasira za watu wana haki nazo).

Kitendo cha kumshitaki ni salamu tosha kwa wengine kuna kesho, ila kudhalilishana ni unnecessary.

Asilimia kubwa ya post za humu ni moja sababu mahususi kwanini mtuhumiwa apewe walau heshima au kama atakutwa katika hali ya udhaifu iwe kwa bahati mbaya.

Lakini kitendo cha serikali yenyewe kutengeneza mazingira ya kudhalilisha mahabusu ambae alikuwa kiongozi na katika muda wake wa uongozi ametengeneza maadui wa kisiasa ni unethical to say the least.

Anyway huo ndio mtazamo wangu ata angekuwa ameshitakiwa Mbowe, ningetaka apewe heshima yake sio kumuweka kwenye mazingira ambayo baadhi ya wana CCM watumie picha kumdhalilisha.

Baada ya kusema hayo simlazimishi mtu kukubaliana na mtazamo wangu, maana kuna mijitu imeshaanza kunitukana khaa, kwani watu atuwezi pishana mitazamo bila ya matusi. Mijitu mengine sijui ikoje.
Mimi wa kwanza kukutukana! Chagua tu tusi linalokufaa. Mtu mzima na akili zako unaanzaje kutetea kiongozi dhalimu. Badala uipongeze serikali kwa hatua ilizochukua,wewe unaleta siasa za kizamani za kidikteta. Mhalifu ni mhalifu,hakuna double standard!
 
Kazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Kaka busara na hekima ni msingi wa maisha ya mwanadamu. Kwani angeweza pia kumuondoa Mbowe kwa kutumia busura na hekima bila figisu figisu yoyote ile kwani mamlaka aliyekuwanayo ,mbona majimbo mengi yalikuwa very strong hold ya opposition na waliweza kung'oka bila tatizo lkn ndugu yetu alijisahau kwamba kuna leo na kesho .
 
Huyu huyu mkuu....Huyu pascal ndiye aliyemchongea Kabendera kwa Katili Magufuli mpaka akaswekwa gerezani...Mama Kabendera akiwa mgonjwa alimuombea mwanae kwa Katili magufuli msamehe ili Kabendera aendelee ku-fund matibabu yake lakini alikataliwa..

Mwisho wa siku mama wa watu alijifia....Na jinsi walivyomakatili wakamzua Kabendera kwenda kumzika mama yake.

Yote haya yamesababishwa na Pascal
Jiwe alikuwa katili sana...niliumia sana jamaa alipozuiliwa kwenda kumzika Mama yake.
 
Kwamba UVCCM imekua genge la kuzalisha Wahalifu, unaweza kuwataja viongozi weengi wa UVCCM na unaamini maneno yangu.
 
Kumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.
P
Pascal, wewe hujaona alichokuwa akifanya huyu fala?
 
Atalia sana huyo mtu maana vilio alivyo visababisha kwa wananchi wasiyo na hatia ni wengi sana.
Duuuh!

FB_IMG_1622751161942.jpg
 
View attachment 1808080

Bado wako wengi waliokuwa viongozi wa aina ya Ole Lengai Sabaya...

Ni aidha waadhibiwe kwa "natural death" kama Mwendazake au gereza likawafundishe namna ya kuwa watu bora na wenye manufaa ktk jamii..

Mwisho, hili ni swali la chemsha bongo tu...

Kati ya hawa waliochutama kichura, Ole Lengai Sabaya ni yupi? Je, ni wa kushoto kwako msomaji au kulia kwako....?

".......usilopenda kutendewa, basi vivyo hivyo wewe pia usimtendee mwenzako jambo hilo........"

Sasa tumuulize swali hili: Unalilia nini sasa Sabaya...??
Apumzike kwa amani…. Hahaaaaaaaa!!!
 
Nimejifunza kwamba serikali bado inamuonea huruma huyu MHALIFU. Kwa matendo yote aliofanya ameishia kupewa 6 COUNTS (Mashtaka 6).

Nlitegemea si chini ya 32 Counts (Mashtaka 32) angepewa. Nlitegemea haya makosa yasingekosekana;

1) Misuse Of Public Office - Mwaka 1 - 5 Jela.

2) Assault (Causing Bodily Harm) - Mwaka 1 Jela.

3) Robbery (House Breaking + Armed Robbery) - Miaka 10 + Miaka 30 Jela.

4) Rape (Against Minor) - Miaka 30 Jela.

5) Rape Against The Order Of Nature - Miaka 30 Mpaka Maisha Jela.

Na mengine mengi ambayo naona uvivu kuyaandika.

● Wangem tight vizuri huyu Ole Sabaaya hata kwenye MURDER angeweza kuhusika kwa wale watu waliokua wanaokotwa na kupotea.
 
Bado Bashite maana Sabaya alitamka wazi wakati anataka kumpora fedha mfanyabiashara wa hotel swai alimuuliza atumie style ipi au Makonda style?
 
Back
Top Bottom