SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ndiye alimtuma hayo yote na bonasi alikuwa anapewa.Hivi Marehemu alikuwa hajui au haambiwi ushenzi wa Sabaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye alimtuma hayo yote na bonasi alikuwa anapewa.Hivi Marehemu alikuwa hajui au haambiwi ushenzi wa Sabaya?
Kukosekana kwa hili shitaka ni wazi kabisa Sabaya ana kwenda kuwabwaga mahakamani maana hivi kweli watu watumie silaha kuiba simu na elfu 35,000 hahahahaUbakaji ni ngumu sana kuthibitisha maana aliwabaka muda ushaenda na walishaoga!! Ubakaji ili kuwe na ushahidi inabidi mtuhumiwa na mbakwaji wakapimwe na daktari kisha daktari achukue sample ya manii kwenye k apime alinganishe na mbakaji vikimatch ndio wanaandaa file kama amebaka.
Ooh, anakwenda kuzeekea jela.Unyang'anyi wa kutumia silaha ni 30 years
Bishop, anaimbaga ile nyimbo ya kina Diamond siku hizi, “hizo ni zama za kale, zilipendwa! Kufufua fufua misikulee, zilipendwaa......!”Amuombe askofu Chidi amfufue
One of the very close person to our family amekwenda 30 kwa armed robberyArmed robbery haina Plea
Hivi Marehemu alikuwa hajui au haambiwi ushenzi wa Sabaya?
Atashinda njaaKwanza kwenye hati ya mashitaka hakuna ubakaji halafu hayo yaliyo baki hakuna atakayeweza thibitisha kamwe na Sabaya atashinda
Aliyetembeza bakora Mbeya kapelekwa kwenye jiji kubwa zaidi, Mwanza.Bado yule aliyetandika wananchi viboko Arusha.
Kihongosi.
Siti ya mbele kabisaHuyo msahauni, hatoki. Plea bargain ipo kwenye money laundering tu.
Misumari ya moto na nyundo zake ipo hapo kwenye ;
1. Kuteka na kutesa
2. Armed Robbery
3. Kuendesha genge la kihalifu
4. Rushwa
5. Abuse of power
Huyu msahauni tu. Mwendazake slikua anabemenda watoto wa watu kwa kuwapa nafasi wasizozimudu na wakaanza kuharibikiwa huku akiwachekea.
Hata ukitukana kama ikithibitika,jela halali yake,muombee tuu.Alikufila huyu ndugu....
au na ww habari za mitandaoni unasikia
samahani kwa swali gumu
Yule mama alikufa kifo kibaya sana. Alisema " mwanangu asipokuja, nitakufa:"Jiwe alikuwa katili sana...niliumia sana jamaa alipozuiliwa kwenda kumzika Mama yake.
I say, ndio maana huyu jamaa alimwaga machozi lita nyingi siku ya mazishi ya jiwe. Alijua siku zake zimeshaanza kuhesabika!
Katika zote hizo madai ambayo ni ngumu kuthibitisha ni ubakaji
Hata asipofungwa but karma imeplay mahali pakeHata wakijitokeza, kesi ya ubakaji ni pale ukikutwa red handed tofauti na hapo labda awe ni mtoto. Otherwise kesi ya kubaka ni ngumu sana kuthibika, hivyo hata wakijitokeza mashahidi sasa hivi ni kazi bure. Labda ndiyo maana hata TAKUKURU au DPP wameamua kuondoa tuhuma za ubakaji na hapo ndiyo utaelewa kwamba this time they mean business
Majambazi mko wengi,Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.