Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

wanasiasa vijana wanawindwa sana ,,,sijui kwa nn,au ndio wivu wa madaraka
 
Ni sinema tu,
Kumbuka Rose Kamili alifanyiwa unyama kwenye ofisi za CCM Iringa akiambiwa hii ndio dola.
Aliyeongoza unyama huo yupo bungeni anatunga sheria kupitia jimbo la Iringa,enzi hizo alikuwa Mkiti mkoa.
NINI KILITOKEA.Waulize huko Iringa
Cjakuelewa
 
Uongozi wa kijana Ole ulitawala chuki binafsi baina yake na wafanyabiashara hata na wana siasa baadhi
Akasahau kwamba Busara/heshima/uadilifu na intergrity ni nyenzo katika uongozi wa nafasi yoyote. Leo anasomewa mashtaka ya udhalimu na unyangányi aliofanya kwa wanachi analala korokoroni leo mpaka siku tajwa tena
Tuishi kwa kuheshimiana tu na kila mtu bila kujali nafasi uliyo nayo
MAlipo ya ubaya ni hapa hapa ulimwenguni
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Mzee Mgaya anatumia cha Njombe au cha Arusha?
 
Nimejifunza sitakiwi kumnyooshea hata kidole au kusema fyeee kwa Mtu ambae hajanifanyia ubaya mimi ambae naskia tu kuwa kafanyia wengine

ila mimi sina uhakika na wala sina uthibitisho kama kafanya au hajafanya.

Waliofanyiwa/walioguswa na mabaya ya mbaya wao ni ruksa kusema chochote ila kwamimi ninae ona tu na kusoma tu,siruhusiwi kusema hata kitu.

zaidi ya kuomba haki itendeke maana najua ktk mabaya 10 kuna 5 ya kweli kuna 5 uongo,haya ya uongo yasinifanye nikashupaza shingo kama nina uhakika nayo,Binadamu Wabaya Wakiamua hawashindwi.

Alifungwa Babu Seya na Papiii kwa Kosa la ULAWITI lkn ukweli wanao waliotoa ile hukumu.

Kila jambo lina chanzo,Kwasasa Somo langu ni 1 natakiwa Kufunga Mdomo wangu na Kuzuia kusema lolote kwa mambo yasionihusu au ambayo sina uhakika nayo. Full stop.
Umeneenavyemaa unaambiwa uwezi toa uhukumu bila kudhibitisha na mzibotishaji ni mahakama tu hili la sabaya naona pich fln za ukabila ..
 
Hapa selikari inabidi ichunguze ili suala kwa umakini sana na cha kwanza watoa taarifa wa makosa ya Sabaya nao wangechunguzwa kwanini Sabaya aonekane mkosefu wakati alikuwa anatimiza majukumu yake pia hiyo crip nimesikiliza nimeona kuna cha kujifunza, DPP aingilie hili suala kwa haraka sana hii ni fitna za watoa taarifa kumkomoa Sabaya kisa kuna watu fulani wamekosa majimbo wakati kura walipiga wananchi na sio Sabaya peke yake.
Tulia wewe mke wa sabaya bwana wako anaelekea kasongo wanaenda k.u m...f....i...r....aaaaaa
 
Uongozi wa kijana Ole ulitawala chuki binafsi baina yake na wafanyabiashara hata na wana siasa baadhi
Akasahau kwamba Busara/heshima/uadilifu na intergrity ni nyenzo katika uongozi wa nafasi yoyote. Leo anasomewa mashtaka ya udhalimu na unyangányi aliofanya kwa wanachi analala korokoroni leo mpaka siku tajwa tena
Tuishi kwa kuheshimiana tu na kila mtu bila kujali nafasi uliyo nayo
MAlipo ya ubaya ni hapa hapa ulimwenguni
Kachuchuma...ukichuchumalishwa vile ni Dalili ya kutaka kukuabisha

Ova
 
Sina cha kujifunza mpaka hapo hukumu itakapotolewa kwa sababu kuna watu wengi wamefikishwa mahakamani kwa style hii na mwisho wa siku walitoka. Huko mbona wamefikishwa viongozi wengi tu wa vyamba mbalimbali na waserikali na wakaja kutoka. Tusione milima aliyonayo sabaya tukaona ndo tayari, tusubiri hukumu ndo hitimisho.
 
Huko ataamka kwa amri,
atakula kwa amri
na atalala kwa amri
Kijana aliaminiwa huyu kosa lilianza kupeleka wengine kama farasi wa mbio
 
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema aliyekuwa DC wa Hai mh Ole sabaya amevunja rekodi ya uongozi wa Umma kwa kutuhumiwa kufanya ujambazi wa kutumia silaha akiwa ofisini kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya.

Hii haijawahi kutokea tokea nchi ipate uhuru 1961.

Nchini China kosa kama hili adhabu yake imeandikwa ukutani ukishatiwa hatiani kila mwananchi anaijua, amemalizia Mgaya.

Ee Msamehe huyu kijana hakujua alilokuwa anatenda.

Jumaa kareem!
Na yule aliyeamuru Tundu Lissu amiminiwe risasi ni wa ngapi? Anyways......labda hajamuhesabu kwa vile kafa!!
 
Back
Top Bottom