LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kiujumla jamaa alikuwa anadhalilisha Sana nafasi za uteuzi serikalini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mna maneno jamani[emoji16][emoji16][emoji16]...mbanioAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nina uhakika na Yeye akikamatwa ( muda si mrefu kutoka sasa kama aliyeniambia hajanidanganya ) hatoishia tu Kuficha Uso wake bali ataficha pia Makalio yake ( Inye lake Ndembendembe ) na Matege Mbanio yake.
Haahaa mkuu unaitakia mema ccm kweli? Yaani jambazi apewe tuzoNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
...Ni jambazi kweli, unakuwa na mkuu wa wilaya asiyefuata Sheria, na mporajiKazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Ishi na watu vizuri , sponsa hufa.
.......
Anachopitia ex-mheshimiwa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1808303
Endelea kubweka!
Halafu inazungukaSi mchezo duniani duara,
Kwa baridi ya Ar akiikosa kirago lazima afie jela kwa nimonia kaliAnaweza asipate hicho kirago
Ova
Kuandika kwenyewe hujuisiamini kama alikuwa anaonea wananchi alafu JPM amuache. Watz tunafurahi kuona mtu wa aina ya sabaya anapelekwa mahakamani huku wahujumu uchumi wakubwa na wezi ambao wameibia serikali tukiwa tunanaka watolewe mahabusu, na wengine tukiwak8ngia kifua. naanza kuelewa sasa kwanini Kenyatta alimwambia nyerere ni rahisi saba kuongoza Tz.
We, Mwigulu alisema atatoa ushahidi duniani na mbinguni"CHADEMA NI CHAMA CHA MAGAIDI"Na Mwigulu,hatujasahau lile bomu la Soweto kule Arusha
LIFUGUMA=uharibifu,tutasikia mengi.muda haudanganyi tusubiriIna maana Magufuli angekuwa bado anaishi, sabaya angekuwa bado mkuu wa wilaya!
Ama kweli, kua uyaone😕
Kumbe huyu ni mshemzi mzoefu!
Maku huyuMwenyewe akakipeleka kiwowowo chake Clouds akawa mara akae amekunja nne huku amekibinua mradi hovyo tu