Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Jinga wewe! Unataka kuiona haki ya aina gani zaidi ya hii ya kufikishwa mahakamani kwa huyo mume wenu aliye walisha kwa fedha alizo wapora wanaume wenzake kwa mgongo wa U DC?

Eti na huyo pimbi mwenzako mnabana kabisa na pua "free sabaya" pumbavu.
Ahaaaaa, vibaka wa Chadema bana. Haya toa povu ukitulia nistue.
 


Huyu anayepigwa hapa si jambazi. Ni mfanyabiashara aitwaye Ally Asaad Ajirin, anayemiliki duka la Shaahidi Stores lililopo Barabara ya Nyamwezi jirani na Soko Kuu, Arusha. Anapigwa na aliyekua DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na mabaunsa wake. Sabaya ndiye anayeongoza kipigo hicho.

Asaad alipigwa hadi kuzirai. Alizinduka akiwa hospitalini ameumizwa sehemu mbalimbali za mwili wake. Wakati kipigo kikiendelea wananchi walisikia kilio ndani ya duka hilo wakampigia simu Diwani wa Sombetini Bakari Msangi, ambaye ni rafiki yake Asaad. Msangi alipofika aligonga mlango akafunguliwa lakini nae akaunganishwa kwenye kipigo.

Walivuliwa mashati na kupigwa kwa nyaya za umeme mgongoni. Walifungwa mikono na miguu na kupigwa kwa rungu, mikanda na kukanyagwa na buti. Msangi aliharibiwa kabisa sikio lake moja na hadi sasa halisikii kabisa.

Kwanini Sabaya na mabaunsa wake walifanya ukatili huu?

February 09 mwaka huu, Sabaya akiwa na genge lake la mabaunsa walienda Arusha katika duka la Assaad na kumtuhumu kwamba anafanya biashara ya kubadili fedha za kigeni kinyume cha sheria. Assaad akakataa na kusema hajawahi kufanya biashara hiyo.

Sabaya alimtaka ampe 100M ili asipewe kesi ya uhujumu uchumi. Lakini akakataa na kuhoji iweje DC wa Hai, aende Arusha akatafute maduka yanayobadilisha fedha, wakati Arusha kuna vyombo vya ulinzi?

Sabaya kusikia hivyo, akaona jamaa ana kiburi kwahiyo akakaagiza milango ifungwe na ndipo wakaanza kumshushia kipigo. Walimpiga wakitaka aoneshe mahali alipoficha pesa za kigeni. Kadri alivyojitetea kuwa hana pesa hizo, ndivyo kipigo kilizidi kuongezeka hadi kuzirai.

Sabaya na wenzake waliyafanya hayo wakirekodiwa na camera za CCTV lakini wala hawakujali. Walijua hakuna lolote wanaloweza kufanywa maana walikua wanalindwa na mfumo.!

Credit: Malisa GJ

My Take
Haya yalifanyika chini ya urais wa Magufuli. Au urais wa wanyonge ulikuwa na maana hii?
 
Mzee alijua anayo yafanya akakausha? au alikuwa hajui?
au alimuonya lakin hakusikia?

but even thought , huyu dc wa hai arusha anafuata nn.?
hakukuwa na waku muonya?
 
Akipigwa bomu mwangosi si kwamba kapiga Jk hizo n incovinience tu zilitokea kutokana na wajinga wachache walioaminiwa
 
Jamaa anachomoka hapa hakuna ushahidi kwamba mtu alikuwa akipigwa hatujui aliyepigwa ni mtu,ng'ombe au mbuzi au ubao.....

subirini wakati wa hearing mtashangazwa
 
20210613_201917.jpg
 
Back
Top Bottom