Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti mpiga debe mzoefu adukue taarifa za kibenk, tunaustahiri umaskini tunaouishiSarakasi mpya imeanza. Kesho utasikia wana kosa tofauti kabisa. Usije ukakuta kinachotafutwa ni CDM wamejipanga vipi kwenye uchaguzi huu huko Arusha (Simu, computers na nyaraka). Kwenye hiyo list sioni mbobezi hata mmoja wa Compuer science au IT au kitu kama hicho. Tusubiri.
Wewe unaweza kujituhumu kuiba penzi kwa Mme wako, au mke wako?Uwezekano wa Mwana CHADEMA Kuwa Muhalifu Ni Mkubwa Sana
kabisa.Siasa chafu, hakuna kingine, matukio yote hufanywa na CHADEMA tu. Uonezi tu na husda!
Kwanini unakataa siyo uhujumu uchumi? Tusaidie wewe mwanasheria nguri?Kamanda Hamduni upo duni kweli, unakubali kuharibu image ya jeshi la polisi kubambika watu kesi ya jinai!? Kuingilia mifumo ya kibenki ni kosa la uhujumu uchumi.
Umenikumbusha aisee,hiyo ishu ya Dada rehema wa singida niliifungulia Uzi hapa modes wakauzuia hadi leoMarehemu Sitta aliziita siasa za maji taka. Kule Singida mgombea wa ubunge wa CHADEMA alivamiwa usiku nyumbani kwake na kupigwa eti kwa vile kulikuwa na silaha nnyumbani kwake. Alipopekuliwa, wakamkuta na kisu na panga nyumbani kwake. Wakamkata na kumpeleka kituoni kwa kukutwa na kisu na panga nyumbani kwake! bi siasa za maji taka kweli kweli.
Inaweza ikawa kweli kijana kasoma IT hawataki kumwajiri,basi mchana anaenda kupiga debe ,usiku anaingia mtandaoni kupiga freelancer,Eti mpiga debe mzoefu adukue taarifa za kibenk, tunaustahiri umaskini tunaouishi
Ungewekewa mpaka vyeti vyake apoInaweza ikawa kweli kijana kasoma IT hawataki kumwajiri,basi mchana anaenda kupiga debe ,usiku anaingia mtandaoni kupiga freelancer,
Ila hapo mlengwa ni mdogo ake Lema
Huyu Kamanda Hamduni ni RPC na wakati anadai hivyo angalia huyu OCD wake anavyomfokea Mh. Mbowe...Makada watano CHADEMA mbaroni kwa tuhuma za makosa mtandaoni
Katika taarifa yake, RPC Kamanda Hamduni, alisema Jeshi la Polisi halijihusishi na siasa na kwamba wajibu wa jeshi hilo umeelezwa kwenye katiba.
Chanzo: IPP Media
Vilevile, wanatuhumiwa kuendesha mafunzo batili yanayolenga kutenda uhalifu wa kijinai katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 28 mwaka
It is cold at 6:40 in the morning of a March day in Paris, and seems even colder when a man is about to be executed by firing
Kwani kaacha ukwapuaji wa magari siku hizi?Lema huhisiwa kwamba ni mafia na mzoefu wa mambo hayo.