Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Habari za kichochezi hizi kuchochea chuki za kidini kuna ulazima gani kusema masheikh!! Ingesemwa waliolipua bomu kanisani na kuua inatosha.
Mbona Mapadri, Makatekista, Wachungaji na Wanakwaya wanapofanya uhalifu wanatamkwa kwa hadhi zao kwa jamii na linaonekana ni Jambo la kawaida tu.

Waache watajwe ili wajue wamevuka nje ya wajibu wao kijamii.
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Walikufa dqzqni na makumi kadhaa kujeruhiwa
 
Sasa wewe mkristo Kwanza kuchinja unajua??nguruwe wenyewe wale maskini ya mungu mnatandika magogo na marungu ya kichwa akifa ndo mnapitisha shoka la ubavu ndiyo kuchinja kwenu Huko,Sasa nani umlishe kibudu??

Hata dunian huko ukienda unaambiwa kabisa hotel hii ni special halal foods....

Haya,nikikuambie uchinje,utachinja Kwa jina la Nani?jina la yule mzungu??
Waarabu ndiyo wamekuja kutufundisha waafrika jinsi ya kuchinja? Kabla ya uislam kuingia waafrika walikua hawali nyama?
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Nikishudia kwa macho yangu binti wa miaka kama 8. au 12 hivi akifariki dunia kwa maumivu makali na wingine wakipelekwa Mt Meru hospital. Binti huyu alikuwa pacha mwenzake anaishi kwa uchungu mkubwa. Tuache udini hapa jambo hilo lisipoadhibiwa ipasavyo litaweza kujirudia.
 
Waarabu ndiyo wamekuja kutufundisha waafrika jinsi ya kuchinja? Kabla ya uislam kuingia waafrika walikua hawali nyama?

Walikuwa wanakula nyama,kwani hata saiz wahadzabe,wamasai na Makabila mengine wanaoishi Kwa Mila Zao si Bado wanakula nyama?tatizo liko wapi,nakushangaa unaposema waislam wamehodhi butcher na kuchinja,wewe kama una ng'ombe wako hapo kwako si uchinje nyama ule?ila ukitaka kuleta public lazima sisi tuchinje,taaluma ya kuchinja waimba kwaya hamna mtatulisha vibudu
 
Hai walikuwa na lengi la kuipindua serikali, ila walianza na Kanisa kwanza.
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Unaangalia lengo la kulipua ilikuwa ni nini
Je ni kujeruhi au kuua?
wao walitaka kuua hayo majeruhi yalitokea tu kwa nguvu za mungu ila sio dhamira ya waliolipua bomu
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa

Nani hakufa?. Shida wengi 2013 hamkuwepo. Waliokufa watu wanne ,mmoja alifia kanisani na watatu akiwemo mtoto mdogo alifia Hospitalini. Na majeruhi wengi.
 
Ila nimegundua JF Ina watoto wengi. Maana wachache Sana ndio wanalijua hili tukio la olasiti, wengi walikuwa bado shule ya msingi. Mtu anaamka anadai hakuna aliyekufa.
 
Hatari sana kuishi jirani na mfuasi wa allah unakuwa kwenye hatari kubwa
Hiyo dini na mafundisho yake ni sumu ya hatari sana kwenye akili ya binadamu.
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Waonewe kwa lipi Chief miaka yote hiyo waliokaa rumande si wangeachiliwa huru?
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Nchi za kiislamu zinazoendesha serikali yake kwa kufuata vitabu vya dini zimetoa adhabu ya kifo kwa mtu ambaye ataukana uislamu (apostasy)

Kuna adhabu ya kunyongwa kwa watu wanaojihushisha na homosexual.

Kumbuka hao wote wanao hukumiwa sio tu kwamba hawajaua au kufanya jaribio la kuua bali hawajamjeruhi hata nzi.

Kama umeona hao masheikh hawakustahili kupewa adhabu ya kifo na kuona wameonewa kwasababu kwenye lile bomu hakuna aliyekufa, ebu fikiria hao watu wanaokatwa vichwa kwasababu tu ni mashoga au wameukataa tu uislamu?

Je walistahili kukatwa vichwa japokuwa hakuna mtu waliyemuua?

Nauhakika kwa upande wako adhabu hiyo unaiona ni fair kabisa kuona mtu anachinjwa kwakua kaukataa tu uislamu.

Utakuwa tayari kupeperusha bendera za ushindi na kutoa kauli za kumsifu Mungu wakati watu hao wakichinjwa.

Na pengine hata wewe tu unaweza kumuonea wivu yule mchinjaji ukatamani nafasi hiyo upewe wewe ukiamini kufanya hivyo utapata thawabu.

Type ya watu kama nyinyi ndio wale mnaotamani.watu wote tuwe waislamu, na sisemi kama ni jambo baya kuwa na wishfully thinking ya namna hiyo.

Ubaya ni njia unayochagua kuitumia ili kuwafanya watu wote tuwe dini yako baada ya mahubiri na mafundisho kushindwa kumshawishi mtu na hivyo kutumia mabavu na roho mbaya.
 
Kwa maelezo yako nahisi na wewe ni miongoni mwa waliosomea sheria kwa hivyo unatetea taaluma yako ya dhulma
Mimi sina sehemu nyengine yoyote kupata huduma za kisheria na nikienda kwenye hizi mahakama zetu ni kwa vile sina njia nyengine basi.Sio kwamba nakwenda kutafuta haki.
Maelezo ya kisiasa kama mtu yoyote wa dini na imani yoyote hayafanyi kazi ukiingia kwenye hizi mahakama.Hata kwenye chaguzi za kila baada ya miaka 5 wanapoteza muda wa watu na pesa bure.Hakuna ukweli wowote.
Mahakama hizi haziathiriwi na siasa pekee bali na imani ya majaji na rushwa.
Unakataa sheria na wakati uislamu ndio inafanya bab kubwa?

Ukikataa sheria unakuwa umeonesha doubt kwenye uislamu.

Neno sheria limetolewa kwenye kiarabu (sharia) ambapo deep down hizo ni termination rules ambazo zipo blessed na Mungu wenu.

Sheria ya mahakama inasema mwizi akiiba afungwe jela au alipe faini au atolewe kwa mdhamana na pia anauwezo wa ku appeal.

Sharia ya dini ya kiislamu inasema mwizi akiiba haraka sana inabidi akatwe mkono. Hakuna cha rufaa wala faini hiyo ndio imetoka

Sasa tukiangalia katika mizani ya morality hapo tunaona mahakama ndio sehemu sahihi ya haki kwanza imeonesha hali ya kujali utu kuliko dini.
 
Back
Top Bottom