Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Mkuu unahamisha mada hapa tupo kwenye jamhuri ya mgaano wa Tanzania na tuna fuata katiba ya jamuhuri, sasa yale ya nchi za kiarabu unaketa za nini kwa kulinganisha adhabu tofauti tofauti.
 
Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.

Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.

Yaani Rais amesaini hicho kitu?

Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Kisheria nnavyo jua wana hukumu kuanzia nia hovu adi tukio, mfano mzuri wale wanao tishiwa maisha ikibainika basi mtishiaji ana ukumiwa,

Tuje kwenye point yako, yaani kwa akili za kawaida mlipuke utokee katikati ya umati wa watu afu kusiwe na mahiti? Wapo waliokufa na wengine ni vilema wa kudumu mpaka leo,

Utetezi wako ni sawa mimi nije kwenu nilipue nyumba yenu (lengo ni kuuwa na kuleta uharibu wa nyumba) then sheria iniache huru utakubali?

hukumu inabidi iwe kali ili wengine waogope, hili swala tutumie uhalisia sio imani.
 
Mkuu kuhusudia kuua na kuua sio kitu kimoja na adhabu yake haiwezi kua moja.
Kwamba unaifahamu vizuri sheria kuliko Jaji na mawakili wa pande zote mbili za mashtaka na utetezi? By the way wanaweza kukata rufaa kuwa wameonewa kupewa adhabu ya kuua wakati wao walikududia tu kuua
 
Nipo hapa, hauawi mtu. So ninyi na waendesha mashtaki endeleeni kujifariji tu, mama samia hasaini.
Kunyongwa ni adhabu nafuu ikitekelezwa kwa wakati.

Kukalishwa jela tena selo za condemn, huku mawazo kibao na kutengwa ni adhabu Kali zaidi ya kitanzi.

Mkuu tusishabikie ubaya na kutetea dhilumati.
 
Ila wakati wa Kikwete sijui masheikh walipata mzuka gani...zanzibar nako kuliikuwa na shida sana kwa madhehebu ya Kikristu.....
 
Ugaidi hauna nafasi katika jamii yoyote iliyostaarabika.
Nakumbuka jinsi selikari ilivojitahidi kufanya tukio lionekane ni la kisiasa ili kutoharibu biashara ya utalii, wiki Moja baadae alitumwa mtu akatupa bomu kwenye mkutano wa kina mbowe,afu waandishi flani wakasema ni mtililiko uleule wa vurugu za kisiasa ,ila Hali Itakuwa shwali,,


i like propaganda
 
Wanyongwe tu, hakuna kucheka na religius terrolist, ukiwapa nafasi hawa nchi inakuwa kama somalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…