Vitendo gani havivumuliki vya kutoa rambirambi au kula rambirambi.Good job mheshimiwa mkuu wa mkoa, vitendo km hv havivumiliki kabisa, waweke huko huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitendo gani havivumuliki vya kutoa rambirambi au kula rambirambi.Good job mheshimiwa mkuu wa mkoa, vitendo km hv havivumiliki kabisa, waweke huko huko.
ndio tatizo la kujua kusoma na kuandikaMkuu wa mkoa ameamuru polisi kuwakamata kwa kuwa wameenda kutoa rambirambi moja kwa moja kwa wafiwa bila kumfikishia yeye, hii aibu kubwa, msiba Gambo anaugeuza siasa? Yaani wafiwa wasitembelewe bila kibali cha polisi? Amekula rambirambi sasa ana haha aibu kweli.
sasa cocochanel, mumetangaza kuwa mumewapa wafiwa pesa ya rambi rambi mil3.8 kumbe mumewapa 1 na kuwaahidi nyingine mtalipa baadae, kuna pesa ya chakula mumetumia m4, watu wanauliza hivyo vyakula wamekula wapi, haya kwa msaada wa mama samia, hawa vijana wasingepelekwa nje kutibiwa kwani serikali ilishasema ingewatibu hapa hapa, hebu kuweni na huruma jamani, mnakuwa kama hamna watoto, nchi sio ya kijani, nchi ni yote sote, hamna hati miliki inapotokea maafa kama haya watu siasa muache ili tuwahudumie wahanga, nyie kweli mpaka rambi rambi mnameza kweli? daah, na yatajulikana mengi tu, hizi pesa tutaziacha hapa hapa na hakuna atakayezikwa nazo, mie kwangu nasema kuweni na utu, litakuja kutokea jambo kubwa sana na watu, mashirika yatagoma kutoa kwa huu ukiritimba wenu, mnajitahidi sana kujenga chuki katika jamii tuonane wabaya, lakini sie tumeshikamana na hatutachukiana kamwe upendo aliotuachia Nyerere tutazidi kuuenzi, katu hatutatengamana, ila tu chuki itatengenezwa kati ya viongozi na wananchi na sio wananchi kwa wananchi
Baada ya kugundua kuwa hawana vyeti wamekuwa wakiwapelekesha sanaKumbe ni kweli polisi wanatumiwa na ccm.
Kosa hakuna bali kaamua kuwakomoa tuSijui kosa lao ni lipi masikini wakati wameenda kuwafariji wafiwa!
mbona unakuwa mjinga kiasi hiki
umeona mkuu..!!utoto uliopitiliza kabisaKuna watu humu JF ukiwajibu ni kupoteza muda mmoja wapo ni huyu uliyemjibu.Watu kama ahwa unawapotezea tu
Kwa hiyo na mie na kimchango changu nikitaka kwenda kutoa pole pale Lucky Vincent nitahitaji kuripoti polisi pia?Ndiyo nchi yetu ilipofikia. Kuna vidikteta uchwara chungu nzima vinafuata nyayo zake.
tunaongrlra jambo hili lililopo machoni petu hayo mengine yatafanyiwa kazi accordinglyKatika watu wa ajabu ni godbless lema bungeni alisimama kuuliza swali kuwa kwa nini mumiliki kakamatwa badala ya kuuliza kuwa hiyo gari iliyoua hakuwa na bima malipo ya bima yatakuwaje kwa wafiwA na majeruhi? Haki zao zimepoteA au vipi? MawAkili komaeni jitoleeni kumburuza mahakamani mmiliki alipe wafiwa na majeruhi
Ndiyo maana mtu kama Meck Sadiq ameacha kushiriki huu unafki !!.ni vitendo vipi visivyovumilika? una maana viongozi waliochaguliwa na wananchi kwenda kuwapa pole wananchi waliowachagua? (kweli maradhi ya akili yako ya aina nyingi, dah!)