hali ikiendelea nahisi hata kwenye mikusanyikoya misiba, nyumbani au makaburini itabidi vibali viombwe, manake nayo ni mikusanyiko isiyo halali,Mwenye hiyo shule anaitwa Mushi mwenyeji wa kule kwa akina god bless Lena na mbowe yaani hapo watakuwa walifurika akina manka,nk wakutoka kule kule Kilimanjaro msiba umepata wenyewe aliyefiwa ni mwenye shule au wazazi ? Kwa Nini wasifunge virago kwenda kuwapa pole wazazi ? Badala yake wanaenda kumwona mhalifu mwenye shule ambaye gari yake haikuwA na kibali hata kimoja kuanzia road licence bima na kibali cha kubeba abiria na dereva wake hakuwa na leseni na gari ilijaza kupita kiasi? Hivi mtu akiwatuhumu kuwa walitoa kafara watoto wa watu watakataa? Maana Naona wako zaidi upande wa mwenye shule
Well done huo ndio mshahara wake
anachongasana
Kwenda huko!Si ni mkuu wa usalama wa mkoa au? Labda mumulize sababu, naamini atakuwa na sababu zinazoeleweka juu ya hili tatizo.
Usiniambie kama watu wa kubwa waliohudhuria walikuwa wanahudumiwa! Huenda walilipwa na night? Kwani walienda kufanya shughuli ya kitaifa au waliguswa na msiba wanapenda kutoa pole?Kwanza ni kwamba 1m walipewa uwanjani, na zingine familia zaidi ya ishirini wameshapokea na wengine walikuwa wanajadiliana nao kuwapatia..hii itakuwa na kwamba wanataka kuzipokeaje kwa njia rahisi wanapendayo.
Haya yote ninesoma humu, kuhusu pesa kuliwa hapo mlilalamika na uchambuzi ulitolewa na RC Gambo nayo imo humu.
Vyakula fikiria viongozi walikaa siku ngapi kule na kula milo ta kila siku, na catering service iliwachaji hivyo mlitaka iweje? Hayo nayo nimesoma humu. Wale waliotoka nje ya nchi na viongozi wengine wa nchini mlitaka waje majumbani mwenu muwalishe!?
Sielewi kwanini mnalalamikia pesa za misiba, bora hata mngekuwa mnaongelea zile over 50m zilizobaki kushauri wafanyie nini kwa wafiwa na majeruhi ningeelewa mnajali zaidi na sio wengi kujaa tamaa.
Meya alitaka ufafanuzi kapewa kaona naye atafute njia ingine ya kula pesa na kuendesha kikao kisiasa, kwani hao waoiofiwa ni lazima pesa wachangiwe au kuna lingine lazima lipo walitaka kutumia ahali kufanya yao maovu na huyo mkuu wa shule hiyo.
Tutazidi kupata habari.
Vikao vya uchochezi navyo havina faida lazima vikatazwe.
Kwa kosa gani?Good job mheshimiwa mkuu wa mkoa, vitendo km hv havivumiliki kabisa, waweke huko huko.
Usiniambie kama watu wa kubwa waliohudhuria walikuwa wanahudumiwa! Huenda walilipwa na night? Kwani walienda kufanya shughuli ya kitaifa au waliguswa na msiba wanapenda kutoa pole?
Sijui kosa lao ni lipi masikini wakati wameenda kuwafariji wafiwa!
ni vitendo vipi visivyovumilika? una maana viongozi waliochaguliwa na wananchi kwenda kuwapa pole wananchi waliowachagua? (kweli maradhi ya akili yako ya aina nyingi, dah!)
ile pesa haikuwa ya vyakula, ile ilikuwa ni ya rambi rambi, kwanini mlipie gharama za vyakula kwa pesa ya rambi rambi, hivi cocochanel unaenda msikitini au kanisani wewe, kweli kweli watu watu, mashirika yanachangia nyie mnapeleka ati zimegharamia vyakula na malazi kweli, serikali si huwa ina mfuko wa maafa, na kwanini mayor asipewe ufafanuzi, kwani kuna tabu gani, yani pesa ya maafa au rambirambi ndio mtumie kwenda kulipia gharama za wageni kweli, inakuingia akilini, daah, inahuzunisha sanaKwanza ni kwamba 1m walipewa uwanjani, na zingine familia zaidi ya ishirini wameshapokea na wengine walikuwa wanajadiliana nao kuwapatia..hii itakuwa na kwamba wanataka kuzipokeaje kwa njia rahisi wanapendayo.
Haya yote ninesoma humu, kuhusu pesa kuliwa hapo mlilalamika na uchambuzi ulitolewa na RC Gambo nayo imo humu.
Vyakula fikiria viongozi walikaa siku ngapi kule na kula milo ta kila siku, na catering service iliwachaji hivyo mlitaka iweje? Hayo nayo nimesoma humu. Wale waliotoka nje ya nchi na viongozi wengine wa nchini mlitaka waje majumbani mwenu muwalishe!?
Sielewi kwanini mnalalamikia pesa za misiba, bora hata mngekuwa mnaongelea zile over 50m zilizobaki kushauri wafanyie nini kwa wafiwa na majeruhi ningeelewa mnajali zaidi na sio wengi kujaa tamaa.
Meya alitaka ufafanuzi kapewa kaona naye atafute njia ingine ya kula pesa na kuendesha kikao kisiasa, kwani hao waoiofiwa ni lazima pesa wachangiwe au kuna lingine lazima lipo walitaka kutumia ahali kufanya yao maovu na huyo mkuu wa shule hiyo.
Tutazidi kupata habari.
Vikao vya uchochezi navyo havina faida lazima vikatazwe.