Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,281
Waandishi wa habari zaidi ya 10 wakiwa wanatekeleza majukumu yao katika ile shule ya Lucky Vincent Arusha wametiwa mbaroni eti kwa kufanya mkusanyiko bila kibali.
Alikuwemo pia Meya wa Jiji la Arusha Calist Lazaro na viongozi wa TAMONGSCO na wakuu wa shule mbalimbali wakitoa rambirambi zao.
Waandishi wamefikishwa kituo kikuu cha polisi na kuhojiwa. Bila shaka wataachiwa. Inasemekana katika mazungumzo yaliyokuwa yakifanyika pale shuleni, moja ya ajenda ilikuwa ni lile sakata la RAMBIRAMBI.
Kwahiyo ndugu waandishi , be careful, watch it........
Alikuwemo pia Meya wa Jiji la Arusha Calist Lazaro na viongozi wa TAMONGSCO na wakuu wa shule mbalimbali wakitoa rambirambi zao.
Waandishi wamefikishwa kituo kikuu cha polisi na kuhojiwa. Bila shaka wataachiwa. Inasemekana katika mazungumzo yaliyokuwa yakifanyika pale shuleni, moja ya ajenda ilikuwa ni lile sakata la RAMBIRAMBI.
Kwahiyo ndugu waandishi , be careful, watch it........