ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

Ttzo wanasiasa wameu- politicise huo msiba. Shame on you all. Roho za marehemu wa hilo janga sio mtaji wa kisiasa. Watu wazima wanafanya vitu vya ajabu sana.
 
Na hao Askari wanaotumwa tu na kuelekezwa bila kutumia japo akili kidogo nao ni Mabashite,hawana vyeti
 
Hivi kwa nini viongozi wa awamu hii wanapenda sana kula rambirambi za waliopatwa na majanga? Hapo alitaka apelekewe yeye atake 10% kwanza ndipo mengine yafuate. Laana kubwa hii. kwa nini hawajifunzi? Nauona mwisho mbaya sana wa arasi Mrisho.
 
Walitaka wapate za kujazia maana Gambo au Gamba wamelamba.Aibu mikutano ya shule nayo wanataka iwe na kibali nchi ya kikaburu kabisa.
 
Hivi wakati mwingine unasoma ulichoandika kabla hujapost?
 
We mjinga sana..hujui haki zako utaendelea kuburuzwa mpk last minute

Unajua kuna mambo mengine mtu anaweza akafanya yakawa na matokeo asiyokuwa anatarajia. Kama wangewaacha wakatoa rambirambi zao pamoja na kuwa na waandishi wa habari, jamii isingejua wala kukasirishwa kwa kiwango hiki. Lakini kwa walichofanya angalia publicity ya tukio nzima na chuki, dharau na matusi yanayotolewa dhidi ya Mh Mkuu wa Mkoa. Hivi hapatwi na msongo wa mawazo kwa kusoma madudu yote haya! Watu hawapendi kupendwa? Kwa nini kila wakati mapambano?
 
Sijawahi kusikia ukienda kutoa pole ya msiba utoe taarifa police hii mpya
 
Hawa vijana kama Rc bashite,na huyu wa arusha wanatuzalikisha vijana
 
Ccm na gambo wanataka rambirambi ziwafikie ili wazikagerelism
 
Good job mheshimiwa mkuu wa mkoa, vitendo km hv havivumiliki kabisa, waweke huko huko.
Nadhani unatania kama jina lako
Gambo kuwakamata Watu kuliopelaka rambirambi na salamu za pole unaona ni sahihi?
Ila Gambo anasahau ngoma za watoto haikeshi
Na hiyo ngoma anaicheza uwanja ambao siyo angejaribu kwingine
Amuulize Magessa Mulongo atampa reference zaidi
 
Alisema Baba wa Taifa ukisha kula nyama ya mtu huwezi kuacha, jamaa kanogewa hela ya rambi rambi zikenda moja kwa moja anaona uchungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…