Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
Rc Gambo yuko sahihi 100%
Naona Laana ya Rambirambi inawatembelea.Au uke majengo wake kule Arusha haujamalizika hivyo anatafuta pesa za Rambirambi?
Mambo mengine msiwemnapenda kuyapigia makofi.Kuna siku mnakuja kujua na kusaga meno.