Acha chuki za kinafki na viongozi kisa ni wana CCM...lazima muheshimu mamlaka...Sihitaji kiki ya LAANA
hayo ni maombi yenu nyinyi mnaosapot hio laaana na huyo mkuu wa mkoa ndo mana mnafikia hatua ya kukamata na kutumia vyombo vya usalama kwa selfish reasons zenu, kwamba mmeona sasa watu wanaenda direct mnaona mtakosa ulaji wa rambirambi mnaona ngoja tuwakamate tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kula rambirambi ni kuheshimu mamlaka eehAcha chuki za kinafki na viongozi kisa ni wana CCM...lazima muheshimu mamlaka...
Mimi niburuzwe??? unaumwa mtindio wa ubongo....wewe ndo unajaribu kukataa kuburuzwa wakati huna uwezo wa kujiburuza....kule trump huku maghufuli hapa kazi tuuuWe mjinga sana..hujui haki zako utaendelea kuburuzwa mpk last minute
Mamlaka yameshikwa na wagonjwa! !!!Acha chuki za kinafki na viongozi kisa ni wana CCM...lazima muheshimu mamlaka...
Tetty hujanielewa. Ukiisoma post yangu utaelewa kuwa mimi na wewe tunamshambulia mla rambirambi ila wewe unamshambulia kupitia kwangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi niburuzwe??? unaumwa mtindio wa ubongo....wewe ndo unajaribu kukataa kuburuzwa wakati huna uwezo wa kujiburuza....kule trump huku maghufuli hapa kazi tuuu
Kwanza ni kwamba 1m walipewa uwanjani, na zingine familia zaidi ya ishirini wameshapokea na wengine walikuwa wanajadiliana nao kuwapatia..hii itakuwa na kwamba wanataka kuzipokeaje kwa njia rahisi wanapendayo.
Haya yote ninesoma humu, kuhusu pesa kuliwa hapo mlilalamika na uchambuzi ulitolewa na RC Gambo nayo imo humu.
Vyakula fikiria viongozi walikaa siku ngapi kule na kula milo ta kila siku, na catering service iliwachaji hivyo mlitaka iweje? Hayo nayo nimesoma humu. Wale waliotoka nje ya nchi na viongozi wengine wa nchini mlitaka waje majumbani mwenu muwalishe!?
Sielewi kwanini mnalalamikia pesa za misiba, bora hata mngekuwa mnaongelea zile over 50m zilizobaki kushauri wafanyie nini kwa wafiwa na majeruhi ningeelewa mnajali zaidi na sio wengi kujaa tamaa.
Meya alitaka ufafanuzi kapewa kaona naye atafute njia ingine ya kula pesa na kuendesha kikao kisiasa, kwani hao waoiofiwa ni lazima pesa wachangiwe au kuna lingine lazima lipo walitaka kutumia ahali kufanya yao maovu na huyo mkuu wa shule hiyo.
Tutazidi kupata habari.
Vikao vya uchochezi navyo havina faida lazima vikatazwe.
Subir kofia na T shirt maana ndio mishahara yenu ya nyie wehu wachache mnaotukwamishaMimi niburuzwe??? unaumwa mtindio wa ubongo....wewe ndo unajaribu kukataa kuburuzwa wakati huna uwezo wa kujiburuza....kule trump huku maghufuli hapa kazi tuuu
Wamegoma kuwaachia rambirambi. Nimesikia na diwani na Meya na wenye shule wao wameachiwa.Pole Mkuu maana Nina hasira naye huyo Mla Rambirambi! Na akina Mbeya watakuwa wamebugi kama watakuwa wameachaa pesa polisi.
Kila kitu kinachotokea nchi hii iwe sherehe,njaa,msiba,etc ni siasa za lawama kwa serikali. Ndugu zangu tusubiri baada ya miaka 3 Watanzania wataamua kwasasa tuangalie maendeleo na kuunganisha WatanzaniaMstahiki Mayor wa Jiji , Paroko , Mchungaji , Waandishi wa habari 7 , wamekamatwa leo na Jeshi la Polisi wakiwa Shuleni Lucky Vicent ambako Mayor alialikwa na Umoja wa Shule binafsi Tanzania , waliopenda kutoa rambi rambi moja kwa moja kwa wafiwa badala ya kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa .
Wazazi waliokuwa hapo wamepatwa na taharuki kubwa baada ya kuona viongozi hao wanachukuliwa bila sababu yoyote ya msingi , mpaka sasa wako Polisi wanaambiwa walikuwa na mikusanyiko isiyo halali .
Nafikiri tunachoka sana . Mungu mpaka lini mambo haya ?
======
UPDATES: 1
Waandishi waliokamatwa na jeshi la polisi Arusha kwa madai tulihudhuria kikao ambacho hakikua na kibali katika shule ya Luck vincent ambapo shirikisho la wamiliki wa shule binafsi walikuwa wanaendwa kutoa rambirambi. Sisi tulipata taarifa tukaenda kufanya kazi.
1 .Godfrey Thomas -ayo tv
2.King Alphonce Saul Kusaga
3.Filbert Emmanuel -mwananchi
4.Husein Tuta ITV
5.Joseph Ngilisho -Sunrise radio
6.Geofrey Stephen -Radio 5
7.Janeth Mushi -Mtanzania
8.Zephania Ubwani -The Citizen
9.Elihuruma Yohani -mwakilishi wa Tanzania Daima
10.Idd Uwesu - Azam Tv
UPDATES; 2
Waandishi wa habari waliokamatwa Arusha leo katika utoaji wa rambirambi shule ya Lucky Vincent wameachiwa, polisi waliwaambia waliwapa lift tu.
UPDATES: 3
Kaimu RPC wa Arusha Yusuph Ilembo amesema watu wote waliokamatwa leo shuleni Lucky Vincent ni utekelezajiwa wa agizo la RC wa Arusha Mrisho Gambo
UPDATES: 4
Meya wa Arusha, Kalist Lazaro na madiwani wawili wamenyimwa dhamana.
Hapo awali waliambiwa dhamana ipo wazi na kuanza taratibu za kuwadhamini. Huenda kesho wakafikishwa mahakamani wakikabiliwa na kosa la kufanya mkusanyiko bila kibali .
Wanaoshikiliwa wengine ni Inocent Kisanyage ambaye ni Katibu wa Mbunge Lema,diwani wa kata ya Olasiti mh. Alex Martin na diwani wa kata ya Muriet mh. Credo Kifukwe.
UPDATES;
Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.
Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.
Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.
Chanzo: Mwananchi
Wamegoma kuwaachia rambirambi. Nimesikia na diwani na Meya na wenye shule wao wameachiwa.
Mkiambiwa ukweli mnakuja na matusi
Tusimlaumu gambo. Yawezekana katumwa!Kwa hiyo viongozi waliochaguliwa na wananchi hawaruhusiwi kutembelea shule iliyopata msiba?, huyu mla rambirambi wa arusha ana matatizo makubwa sana
Unanisoma kwa macho mawili tu , ongeza jicho la 3 utanielewa .Hahahahaha.. yaani wewe nikizisoma msg zako huwa ncheka sana siyo kwa furaha bali kwa uchungu... Hivi huwa una memory fupi sana mwaka jana uliandika hapa Mrisho Gambo ana siku chache sana kubakia Arusha na atashindwa kama walivyoshindwa wengine kwani mfalme wa Arusha ni kiLema. Sasa naona umeshampa cheo cha Mungu leo Mrisho Gambo.