ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

TAIFA LENYE AMANI NA UTULIVU!!!

HIVI MKUU WA MKOA ANAWEZA KUWA YUPO NYUMBANI KWAKE KALEWA POMBE ANAPIGA SIM POLISI ANAWAAGIZA POLISI WAMKAMATE MTU FULANI NA AWEKWE NDANI.....UNAKAMATWA KWELI.

KUNA UMUHIM WA KILA MTU KUJILINDA MWENYEWE.
 
Sihitaji kiki ya LAANA
hayo ni maombi yenu nyinyi mnaosapot hio laaana na huyo mkuu wa mkoa ndo mana mnafikia hatua ya kukamata na kutumia vyombo vya usalama kwa selfish reasons zenu, kwamba mmeona sasa watu wanaenda direct mnaona mtakosa ulaji wa rambirambi mnaona ngoja tuwakamate tu.
Acha chuki za kinafki na viongozi kisa ni wana CCM...lazima muheshimu mamlaka...
 
Acha chuki za kinafki na viongozi kisa ni wana CCM...lazima muheshimu mamlaka...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kula rambirambi ni kuheshimu mamlaka eeh
kwa sababu hujaitwa kwenda kupokea hela za michango ili mzipige mnaona namna bora ni kuwakamata sio
mmelaaniwa! Endeleeni kupanda laana msijali mnakaribia mavuno
 
We mjinga sana..hujui haki zako utaendelea kuburuzwa mpk last minute
Mimi niburuzwe??? unaumwa mtindio wa ubongo....wewe ndo unajaribu kukataa kuburuzwa wakati huna uwezo wa kujiburuza....kule trump huku maghufuli hapa kazi tuuu
 
Tetty hujanielewa. Ukiisoma post yangu utaelewa kuwa mimi na wewe tunamshambulia mla rambirambi ila wewe unamshambulia kupitia kwangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Pole Mkuu maana Nina hasira naye huyo Mla Rambirambi! Na akina Mbeya watakuwa wamebugi kama watakuwa wameachaa pesa polisi.
 
Mimi niburuzwe??? unaumwa mtindio wa ubongo....wewe ndo unajaribu kukataa kuburuzwa wakati huna uwezo wa kujiburuza....kule trump huku maghufuli hapa kazi tuuu

Naona baada ya kuzikosa hasira mmehamishia kwa waleta rambirambi
 
Kwanza ni kwamba 1m walipewa uwanjani, na zingine familia zaidi ya ishirini wameshapokea na wengine walikuwa wanajadiliana nao kuwapatia..hii itakuwa na kwamba wanataka kuzipokeaje kwa njia rahisi wanapendayo.

Haya yote ninesoma humu, kuhusu pesa kuliwa hapo mlilalamika na uchambuzi ulitolewa na RC Gambo nayo imo humu.

Vyakula fikiria viongozi walikaa siku ngapi kule na kula milo ta kila siku, na catering service iliwachaji hivyo mlitaka iweje? Hayo nayo nimesoma humu. Wale waliotoka nje ya nchi na viongozi wengine wa nchini mlitaka waje majumbani mwenu muwalishe!?

Sielewi kwanini mnalalamikia pesa za misiba, bora hata mngekuwa mnaongelea zile over 50m zilizobaki kushauri wafanyie nini kwa wafiwa na majeruhi ningeelewa mnajali zaidi na sio wengi kujaa tamaa.

Meya alitaka ufafanuzi kapewa kaona naye atafute njia ingine ya kula pesa na kuendesha kikao kisiasa, kwani hao waoiofiwa ni lazima pesa wachangiwe au kuna lingine lazima lipo walitaka kutumia ahali kufanya yao maovu na huyo mkuu wa shule hiyo.

Tutazidi kupata habari.

Vikao vya uchochezi navyo havina faida lazima vikatazwe.

cocochanel nikushauri tu usipende kitu sana mpaka ukapitiliza kwa sababu utashindwa kutoa mawazo katika usawa..

Nnaomba kukuuliza swali ,hivi unapokuwa na cheo chochote iwe ni cha kuteuliwa au kuchaguliwa hivi inakuondolea ile hali ya Ubinaadamu?..Nimekuuliza kwa sababu ktk mchango wako umehusisha tukio lile kuwa ni la kisiasa.

Tuna tofautishaje matukio ya kisiasa na yasio katika mlengo huo ?.

Jingine ile michango(rambirambi)kwa ajili ya wafiwa kutumiwa ktk matumizi ambayo sio lengo lake .(ref;Bukoba).Kwa nini mlifanya hivyo?.

Mwisho nikwambie tu sote tunaishi hapa Duniani na siku hazigandi,omba sana yasikukute ..
 
Mimi niburuzwe??? unaumwa mtindio wa ubongo....wewe ndo unajaribu kukataa kuburuzwa wakati huna uwezo wa kujiburuza....kule trump huku maghufuli hapa kazi tuuu
Subir kofia na T shirt maana ndio mishahara yenu ya nyie wehu wachache mnaotukwamisha
 
Pole Mkuu maana Nina hasira naye huyo Mla Rambirambi! Na akina Mbeya watakuwa wamebugi kama watakuwa wameachaa pesa polisi.
Wamegoma kuwaachia rambirambi. Nimesikia na diwani na Meya na wenye shule wao wameachiwa.
 

Mstahiki Mayor wa Jiji , Paroko , Mchungaji , Waandishi wa habari 7 , wamekamatwa leo na Jeshi la Polisi wakiwa Shuleni Lucky Vicent ambako Mayor alialikwa na Umoja wa Shule binafsi Tanzania , waliopenda kutoa rambi rambi moja kwa moja kwa wafiwa badala ya kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa .

Wazazi waliokuwa hapo wamepatwa na taharuki kubwa baada ya kuona viongozi hao wanachukuliwa bila sababu yoyote ya msingi , mpaka sasa wako Polisi wanaambiwa walikuwa na mikusanyiko isiyo halali .

Nafikiri tunachoka sana . Mungu mpaka lini mambo haya ?

======

UPDATES: 1

Waandishi waliokamatwa na jeshi la polisi Arusha kwa madai tulihudhuria kikao ambacho hakikua na kibali katika shule ya Luck vincent ambapo shirikisho la wamiliki wa shule binafsi walikuwa wanaendwa kutoa rambirambi. Sisi tulipata taarifa tukaenda kufanya kazi.

1 .Godfrey Thomas -ayo tv

2.King Alphonce Saul Kusaga

3.Filbert Emmanuel -mwananchi

4.Husein Tuta ITV

5.Joseph Ngilisho -Sunrise radio

6.Geofrey Stephen -Radio 5

7.Janeth Mushi -Mtanzania

8.Zephania Ubwani -The Citizen

9.Elihuruma Yohani -mwakilishi wa Tanzania Daima

10.Idd Uwesu - Azam Tv

UPDATES; 2

Waandishi wa habari waliokamatwa Arusha leo katika utoaji wa rambirambi shule ya Lucky Vincent wameachiwa, polisi waliwaambia waliwapa lift tu.

UPDATES: 3

Kaimu RPC wa Arusha Yusuph Ilembo amesema watu wote waliokamatwa leo shuleni Lucky Vincent ni utekelezajiwa wa agizo la RC wa Arusha Mrisho Gambo

UPDATES: 4

Meya wa Arusha, Kalist Lazaro na madiwani wawili wamenyimwa dhamana.

Hapo awali waliambiwa dhamana ipo wazi na kuanza taratibu za kuwadhamini. Huenda kesho wakafikishwa mahakamani wakikabiliwa na kosa la kufanya mkusanyiko bila kibali .

Wanaoshikiliwa wengine ni Inocent Kisanyage ambaye ni Katibu wa Mbunge Lema,diwani wa kata ya Olasiti mh. Alex Martin na diwani wa kata ya Muriet mh. Credo Kifukwe.

UPDATES;
Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.

Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.

Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.


Chanzo: Mwananchi

Kila kitu kinachotokea nchi hii iwe sherehe,njaa,msiba,etc ni siasa za lawama kwa serikali. Ndugu zangu tusubiri baada ya miaka 3 Watanzania wataamua kwasasa tuangalie maendeleo na kuunganisha Watanzania
 
Ukitaka kutembelea shule au kuna mkutano wa wazazi au mkutano wa shule ukaalikwa lazima uombe kibali cha kwenda ukienda bila ruhusa cha moto utakiona.
 
Nakumbuka kipindi Maghuful amemaliza kuwapisha Wakuu wa mikoa na Wilaya,alisema 'mna uwezo wa kumuweka yeyote ndani',hii kauli ilinishtua na kubaki najiuliza kulikuwa na muhimu gani? kulisema hil,sasa ndiyo nimeanza kuona kusudio lake
 
Hahahahaha.. yaani wewe nikizisoma msg zako huwa ncheka sana siyo kwa furaha bali kwa uchungu... Hivi huwa una memory fupi sana mwaka jana uliandika hapa Mrisho Gambo ana siku chache sana kubakia Arusha na atashindwa kama walivyoshindwa wengine kwani mfalme wa Arusha ni kiLema. Sasa naona umeshampa cheo cha Mungu leo Mrisho Gambo.​
Unanisoma kwa macho mawili tu , ongeza jicho la 3 utanielewa .
 
Back
Top Bottom