ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

Hayo ni maombi yako.....ili upate kiki ya mtaani....
Sihitaji kiki ya LAANA
hayo ni maombi yenu nyinyi mnaosapot hio laaana na huyo mkuu wa mkoa ndo mana mnafikia hatua ya kukamata na kutumia vyombo vya usalama kwa selfish reasons zenu, kwamba mmeona sasa watu wanaenda direct mnaona mtakosa ulaji wa rambirambi mnaona ngoja tuwakamate tu.
 
Hawajatosheka Mkuu hao wakwapuzi wa rambi rambi.

kinya18052017.jpg


Mrisho Gambo analazimisha apewe yeye rambirambi mkononi ili aipige,

CCM mna matatizo gani na hizi rambirambi jamani??
 
Jamani hii ni kituko cha mwaka, unampangia mtu nani akampe rambirambi. Tangu lini kwenda kuhani msiba ukageuzwa kuwa mkusanyiko usio na kibali
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hao lazima wapandishwe kizimbani kwa kosa la kuwafikishia wagonjwa uji moja kwa moja!

Uji wa wagonjwa ni lazima upite kwanza mikononi mwangu ili niuchujechuje..si mnajua tena "mabuja"
 
Hizi kamata kamata zisizo na msingi zinachosha! Full ubabe yaani.
 
Jamaa alikuwa anafuatilia ukweli wa mgawanyo wa rambiramb na kupeleka rambarambi nyingine moja kwa moja kwa wafiwa bila kupitia "middle man/mtu wa kati(RC/serikali).Maana kuna kipengere kilisema chakula na vinywaji vya wageni wa meza kuu ilikuwa milioni 4.3(?),wakati hakuna mtu wa meza kuu aliyekula hata kidali cha bata mzinga,watu walimaliza kuaga wakaingia kwenye magari kukwepa mvua.Sasa hiyo milioni 4 ya chakula na vinywaji ilikuwajekuwaje?

Wafiwa walipewa milioni moja,na baadae wakahaidiwa kupewa milioni 2 na ushee zilizobaki,sasa maswali ikawa,inakuwaje rambirambi zinakuja nusunusu wakati zilitolewa kwa pamoja?

Walisema Serikali itagharamia safari na mazishi ya watoto,walimu na madereva.Lakini kwenye mchanganuo wanaonyesha kuwa pesa za rwmbirambi zilitumika kulipa madereva na magari ya usafiri,wakati kina Chambili,Kampuni ya Leopards na wadau wengine walichangi kama msaada,sasa hizo zilipoteaje?

Kudhihirisha chuki ya Kisiasa,siku ya msiba Gambo alitangaza CHADEMA kama Chama kimetoa shilingi milioni 5,Lakini kwenye mchanganuo wa jedwali lake,hajaweka CHADEMA kama chama kilichochangia,zaidi kawaweka UWT-Taifa,CCM mkoa wa Arusha nk...Sasa haya mambo ndio yanajenga machuki yasiyo na maana.

Wanamtumia Nyalandu kupenyeza "userikali" kwa kuwapeleka watoto marekani,Lakini ukiangalia website ya hawa jamaa,utaona kuwa wao walitaka siku ileile watoto wapelekwe US kutibiwa,lakini urasimu wa serikali na Gambo kwa "kiburi" kuwa serikali itawatibu kiliwachelewesha,mpaka wakatumia nafasi ya Makamu wa Rais alipoenda Hospital Mount Meru,wakawasakizia wale wamama wenye watoto kumsihi Mama Samia watoto waende nje kutibiwa kwa msaada wa Wazungu.

Halafu wanajidai kusema "Uongozi unaoacha Alama"...Hizo ni alama gani?au za chuki na visasi?Buree kabisaa
du kaka umenifumbua, mara ya 3 watu hawatachangia kama maafa yakitokea, inasikitisha sana
 
Kipindi ambacho watoto wetu wanahitaji wataalam wa tiba za saikolojia ili kuwapa nasaha baada ya kupoteza marafiki zao, wanasiasa wapumbavu wanatafuta umaarufu!
Wale watoto akili zao hazijakaa vizuri, ugeni wa watu ambao sio wale waliozoeleka hapo shuleni vinaamsha majonzi upya! Wanasiasa acheni uharamia na tamaa!
Nimetafuta tusi zito limekosa,........Mungu nipe moyo wa uvumilivu!

hahaha kwahiyo kosa sio tena kukusanyika bila kibali bali ni kuibua majonzi kwa wanafuzni??

mkuu huu upumbavu nenda kadanganyane na house girl wako.
 
Mpaka Paroko na wachungaji wameisoma namba,kweli ccm haina maana

Tusishangae jamani,hawa wanajua "kusoma na kuandika"
 
Jeshi la Polisi limesema, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ndiye aliyetoa amri ya kukamatwa kwa walioenda kutoa salamu za rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent leo.

====
UPDATES:

Waandishi zaidi ya 8 waliokamatwa Arusha leo ktk utoaji rambirambi kwa Lucky Vicent wameachiwa, Polisi wawaambia waliwapa lift tu.
 
hii awamu inajidhalilisha
kwanza si aminifu tumeshuhudia rambirambi zikipotea meaning haina msaada kwa wananchi sasa wengine wamesaidia wao wanawakamata

watanzania tukatae huu upuuzi this is too much
 
heheheee mbele kwa mbele mliojipanga mifoleni kusema mmechagua jembe sasa linawalima...... 😉😉😉😉 mtajijua na bosi wenu na mkome 2020 mrudie tena😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom