ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

'#BREAKING Waandishi zaidi ya 8 waliokamatwa Arusha leo ktk utoaji rambirambi kwa Lucky Vicent wameachiwa, Polisi wawaambia waliwapa lift tu.
hahahahahaa lift ya kwenda wapi??? dah
 
Jeshi la Polisi limesema, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ndiye aliyetoa amri ya kukamatwa kwa walioenda kutoa salamu za rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent leo.

====
UPDATES:

Waandishi zaidi ya 8 waliokamatwa Arusha leo ktk utoaji rambirambi kwa Lucky Vicent wameachiwa, Polisi wawaambia waliwapa lift tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Lift!!!!
 
Anadhani kwa kufanya ujinga huo anipunguza nguvu CHADEMA. Kumbe ndio anipa promo ya bure. Mh Rais huyu mtu wako ameshindwa kazi muondoe anazidi kukutia aibu.
 
*KUKAMATWA VIONGOZI CHADEMA ARUSHA*


*Na Felix Mushi,Arusha*

Niko hapa eneo la tukio Shule ya Msingi Lucky Vicent iliyopo Olasit Jijini Arusha, Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, na Viongozi wengine wa Chadema wamekamatwa wakiwa kwenye mkutano na wazazi wa watoto waliofariki kwenye ajali hiyo.

Katika kikao hicho Meya wa Jiji alianza kwa kutoa pole kwa wafiwa na kuwaeleza kuwa ametumwa na Mbunge ili kuwapa pole za kipekee kwa msiba huu na zaidi ameelekezwa kuja kuwajengea ujasiri wazazi ili waendelee kudai fedha zilizoliwa na wajanja.

Akawaeleza kuwa wao kama Chama makini wako pamoja na wafiwa kwa hali zote na kwamba lazima haki itashinda. Pia aliwafafanulia kuwa ni jambo la aibu kuona wadau mbalimbali wametoa fedha lakini watu wachache wanakula michango hiyo lakini wanaachwa.

Kabla hajaendelea na maelezo hayo, alisimama mzazi aliyejulikana kwa jina moja la mama Ivo ambaye alimuuliza Meya juu ya fedha milioni 10 ambazo Mbunge na uongozi wa CHADEMA waaliahidi walipokuja kuwapa pole siku ya msiba kwamba ni vyema wangezitoa ziwasaidie kuliko kuendelea kuwaeleza juu ya wizi wa rambirambi ambazo hata hawana uchungu nazo. Aidha alumina Meya Alasdair kurejeshewa fedha za ada ambazo walilipa shuleni siku moja kabla ya ajali kwani ni haki yao.

Swali hilo liliamsha shangwe na vigelegele kutoka kwa baadhi ya wazazi huku wengine wakiguna kichinichini. Hata hivyo Meya aliwaeleza kuwa fedha ambazo wao kama CHADEMA waliziahidi wasiwe na hofu watazipata lakini hiyo siyo agenda iliyowaleta leo! Akawaomba wamvumilie kwani yeye na viongozi wenzake watatafuta siku muafaaka ambayo Mbunge atakuwepo ili awakabidhi mwenyewe. Alitumia nafasi hiyo pia kuwasihi wafiwa wapuuze maneno ya mtaani kwamba CHADEMA hawajachangia chochote zaidi ya kufanya siasa Kwenye mitandao. Akawahakikishia kuwa fedha hizo watazipata kabla ya tarehe 21 Mei.

Hata hivyo maelezo haya yalionekana kutojitosheleza kwa baadhi ya wazazi ambao waliendelea kuguna na wengine wakizomea huku wengine wakionyesha kufurahishwa na majibu hayo na wakizomea kwa nguvu. Fujo za kutosikilizana zilipoendelea iliymlazimu mzazi mmoja kuwapigia simu polisi kuja kudhibiti sintofahamu iliyojitokeza. Naamini watakuwa wanaendelea kutoa maelezo huko!

Hasira za Baadhi ya wazazi hao pamoja na walimu ni kuchoshwa na kile walichokiona ni usanii wa baadhi ya viongozi kuendelea kutumia msiba huo kama ngao ya siasa huku wakiwa hawatoi michango waliyoahidi zaidi ya kupiga danadana.
____
Nitaendelea kuwajuza kinachoendelea juu ya Muvi hii nzuri!
Unafaa kwa propoganda mfu kwa niaba ya ccm
 
Kwanza ni kwamba 1m walipewa uwanjani, na zingine familia zaidi ya ishirini wameshapokea na wengine walikuwa wanajadiliana nao kuwapatia..hii itakuwa na kwamba wanataka kuzipokeaje kwa njia rahisi wanapendayo.

Haya yote ninesoma humu, kuhusu pesa kuliwa hapo mlilalamika na uchambuzi ulitolewa na RC Gambo nayo imo humu.

Vyakula fikiria viongozi walikaa siku ngapi kule na kula milo ta kila siku, na catering service iliwachaji hivyo mlitaka iweje? Hayo nayo nimesoma humu. Wale waliotoka nje ya nchi na viongozi wengine wa nchini mlitaka waje majumbani mwenu muwalishe!?

Sielewi kwanini mnalalamikia pesa za misiba, bora hata mngekuwa mnaongelea zile over 50m zilizobaki kushauri wafanyie nini kwa wafiwa na majeruhi ningeelewa mnajali zaidi na sio wengi kujaa tamaa.

Meya alitaka ufafanuzi kapewa kaona naye atafute njia ingine ya kula pesa na kuendesha kikao kisiasa, kwani hao waoiofiwa ni lazima pesa wachangiwe au kuna lingine lazima lipo walitaka kutumia ahali kufanya yao maovu na huyo mkuu wa shule hiyo.

Tutazidi kupata habari.

Vikao vya uchochezi navyo havina faida lazima vikatazwe.
Wee ndo hamnazo kabisa hao viongozi walienda kula au kusaidia kumbe nyie maccm ndo tabia yenu mkiona misiba hata nyumbani hamuachi hela ya mboga, yaani hata aibu huoni eti viongozi wangekula nini,,
 
Kweli gonjwa la UTAAHIRA huwa halipigi hodi.
Umeonaee!!! Yaani sijui watu wengine nani kawapa nafasi huku Jf...
Maana naona kama huchangia shisha. Yaani mtu anashangilia watu walio kwenda kutoa pole kukamatwa??? Hii ni hatari sana..
 
Back
Top Bottom