ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

HATARI SANA !!!!!!!! rambi rambi ni chanzo cha mapato awamu ya 5!!!
 
Update namba mbili post ya kwanza imenifanya nicheke. Ila nimeshangazwa na upendo ulioonyeshwa na askari wetu kwa raia wema kabisa wahandishi wa habari. Kuwasaidia usafiri hali hii iendelee kama hao raia wema wameridhishwa na msaada huo wa askari wetu.
 
Da... magu katia njaa mpaka viongozi wake wana kula rambirambi zetu uyo mkuu wa mkoa aliziki tu. Au hana taka kula naizo za wafiwa nini.
 
Nasikia hata msaada haukuweza kutolewa tena.....wanataka pesa zipelekwe kwa mkuu wa mkoa ili yeye ndo aje kukabidhi.....Watu wanapenda u ukuu sana.
 
Shida yenu ni kuto kutafakari. Kesho mkiitwa na polisi au huyo RC mtamkimbilia na kuandika masifa. Ifike mahali mjue kuna viongozi wana watumia kwa maslahi yao. Nani anamjua yule masifa wa Jiji la baharini siku hizi? Kwanini na huyo wenu msimblacklist???
Tunatafakari hatua za kuchukua ikiwepo kutoandika habari za Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kama tulivyofanya kwa Daudi Bashite.
 
Miaka mitano tutaona mengi na vituko zaidi. Ila ni kipimo cha hukumu yao 2020.
 
'#UPDATE Waandishi 10 tuliokamatwa na Polisi Arusha leo ktk utoaji rambirambi shuleni Lucky Vicent tumeachiwa,Polisi wametumbia walitupa lift tu View attachment 511134
Waandishi wa habari tukiwa pamoja kutafakari tukio la leo la kukamatwa na kuambiwa tulipewa lift tuu!
Haha Ha wanatafakari baa
 
Mmekula rambirambi za wafiwa mmeona haitoshi mmewakamata na watoa rambirambi.

Hakika huu ndio "UONGOZI UNAOACHA ALAMA."
 
Tunatafakari hatua za kuchukua ikiwepo kutoandika habari za Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kama tulivyofanya kwa Daudi Bashite.
Pia na RPC aliye wadhihaki kwamba mmepewa lift. Hili sio jambo la kutafakari. Ni jambo la kuchukulia hatua. Kwamba nyie ni watu wa lift... Dharau hizoo
 
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza baada ya Meya wa Arusha kukamatwa na Polisi maeneo ya shule ya Lucky Vincent.
MSIKILIZE

Atoe jibu gari ya St Vincent hakuwa na bima majeruhi na wafiwa atawasaidiaje kulipwa fidia na mumiliki wa hiyo shule. Waandishi wa habari mkomalieni lema aeleze anawasaidiaje kupata fidia zao. Mtoleeni uvivu.
 
Back
Top Bottom