Arusha: Mfanyakazi wa Benki ya DTB ajiua kwa kujinyonga

Arusha: Mfanyakazi wa Benki ya DTB ajiua kwa kujinyonga

Hicho chumba Cha mpangaji Kuna uwalakini!
1. Huyo mpangaji ni jinsia Gani?
2. Huyo mpangaji hafanani na hicho kichanga Cha Mzee?
3. Huyo mpangaji alikuwa wapi?
4. Huyo Mpangaji yupo wapi sasa?
Kachanga ni damu ya mpangaji

FB_IMG_1624664513021.jpg
 
Mwanamke Kabila Gani?
Mpangaji Kabila Gani? Anaitwa Nani? Je alitoka saa ngapi? Huwa hafungi chumba chake?
Hapo kuna utata, lazima mke na mpangaji wanajua kitu
 
Back
Top Bottom