Arusha: Mfanyakazi wa Benki ya DTB ajiua kwa kujinyonga

Arusha: Mfanyakazi wa Benki ya DTB ajiua kwa kujinyonga

Naona Tanzania imevamiwa na Pepo la Mauaji! Kanisa linafanya nini?
 
Sawa Mkuu, ngoja yakukute!
Yameshanikuta mengi sana ndugu yangu, hata sasahv hapa nilipo nina jaribu kubwa tu lakini pombe haijawahi kuwa dawa ya Stress na Depression.

Mwombe Mungu, Mwamini yeye halafu mwachie mizigo na changamoto zako atakutetea tu with time.

At last, utagundua pombe inakuharibu zaidi.
 
Mume aamke, amwandae mtoto...wewe umelala tu kama pono...Kuna namba hapo
 
niliwahi kufanya kazi taasisi moja ya afya iliyoko chini ya wahindi..basi receptionist mmoja alikuwa anagongwa na meneja mhindi alikuwa ananizingua balaa ili niache kazi yeye amlete ndugu yake...nikaamua asubuhi kabla sijaingia kazini navuta bangi jicho linakuwa jekunduu...wale maboya walikuwa wakiniona wananikwepa ...nilipotimiza malengo yangu nikasepa.
Hahahahahahaaaa,unavuta bangi kwanza ndo unatinga kazini,du
 
Miaka 60 mwanao hajaanza hata sekondari

Unawaachia watu mzigo.
Ni mzigo Kwa maskini lakini Kwa tajiri hamna mzigo hapo,tafuteni Hela msiendekeze ngono,ukiwa tajiri tunakuruhusu kuzaa hata kama umefika miaka 80,maskini kuzaa mwisho miaka 30,kwasababu mzigo utakuelemea badaye
 
Mume anaamka saa 11 kujiandaa kwenda kazini mwanamke kavuta zake shuka mpaka usingizi ulipokata hiyo saa 1 na robo na kushtuka mtoto hajapelekwa shule, kwa kawaida ya wamama huwa sio rahisi kutokumshuhudia mume/watoto wakijiandaa na hata kuagana waendapo kazini/shule.

Apumzike kwa amani[emoji1431].
Nimewaza kama wewe lakini nikakumbuka marehemu ameacha kichanga kama unauzoefu utakubaliana na mimi mara nyingi usiku vitoto vichanga hua vinasumbua hivyo yaweza Kua muda mwingi mama anakesha ile alfajiri ndo anapitiwa na usingizi mme nae kwa upendo na huruma akaona asaidie mkewe kuandaa huyu mtoto mkubwa ampitishe shule sio mbaya.
 
Yameshanikuta mengi sana ndugu yangu, hata sasahv hapa nilipo nina jaribu kubwa tu lakini pombe haijawahi kuwa dawa ya Stress na Depression.

Mwombe Mungu, Mwamini yeye halafu mwachie mizigo na changamoto zako atakutetea tu with time.

At last, utagundua pombe inakuharibu zaidi.
Mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, sipingi. Tatizo ni wapi utapata mtu wa kukufariji. Ilishanitokea.
Unatengwa na kila mtu, hata ndugu zako wa damu. Bila kosa lolote kisa, wivu!
Kama wewe ni Mkristo soma Zaburi 69:19, 20.
 
Duu miaka 50, ana mtoto mchanga!!!!
Mungu ampumzishe panapostahili
Inazuiliwa kisheria ama ni mawazo yenu ya kijinga.

Jay z ana miaka mingap? Kapata watoto akiwa na umri gani (mtoto wa mwisho)

Acheni kuleta sheria zenu za kishmundu kwA kila mtu
 
Hicho chumba Cha mpangaji Kuna uwalakini!
1. Huyo mpangaji ni jinsia Gani?
2. Huyo mpangaji hafanani na hicho kichanga Cha Mzee?
3. Huyo mpangaji alikuwa wapi?
4. Huyo Mpangaji yupo wapi sasa?
Maswali fikirishi na yenye kuhitaji majibu
 
Inazuiliwa kisheria ama ni mawazo yenu ya kijinga.

Jay z ana miaka mingap? Kapata watoto akiwa na umri gani (mtoto wa mwisho)

Acheni kuleta sheria zenu za kishmundu kwA kila mtu
Hahaa
Tusamehe tumekosa 😅😅
ila kweli ujue, maana ukiwa na pesa hata ukiwa na miaka 90 unazaa....
Coz watoto wanakuwa na uhakikaa
 
Hahaa
Tusamehe tumekosa 😅😅
ila kweli ujue, maana ukiwa na pesa hata ukiwa na miaka 90 unazaa....
Coz watoto wanakuwa na uhakikaa
Humu wengi tumezaliwa na wababa miaka 30-45 ila Maisha yao magumu na tumekua ivyo ivyo kwa msaada wa ndugu na jamaa

Leo dingi wa miaka 30 kuzaa ishakuwa nongwa
 
Humu wengi tumezaliwa na wababa miaka 30-45 ila Maisha yao magumu na tumekua ivyo ivyo kwa msaada wa ndugu na jamaa

Leo dingi wa miaka 30 kuzaa ishakuwa nongwa
Dunia imebadilika lakini Boss wangu, watu wamekuwa selfish sanaa....
Ila jamaa alikuwa na miaka 50 sio 30
 
Ni mzigo Kwa maskini lakini Kwa tajiri hamna mzigo hapo,tafuteni Hela msiendekeze ngono,ukiwa tajiri tunakuruhusu kuzaa hata kama umefika miaka 80,maskini kuzaa mwisho miaka 30,kwasababu mzigo utakuelemea badaye

Jibu langu ni lile Kama malezi kwako ni pesa pekee ni sawa kuzaa hata na miaka 80.

Ila Kama malezi ni zaidi ya pesa jitahidi upate watoto mapema wafurahie malezi ya baba energetic.
 
Back
Top Bottom