Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Niliwaza piaMtu una miaka 50 hata akipata ngwengwe is that a big deal?..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwaza piaMtu una miaka 50 hata akipata ngwengwe is that a big deal?..
Nyumba yao hatujaiona hata hivyo. Anyway, assuming uko sahihi autopsy itatoa majibu, mfano mke anasema marehemu alielekea kuoga saa 11 kama jamaa hakujivuta vuta na akanyoosha kwenda kujinyonga means ndani ya dakika nne ndiyo mauti yalimkuta.Kuna nyumba zinakuaga na fensi, wanaishi mwenye nyumba na mpangaji mmoja TU.
Hapo mashaidi unawatoa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda hata sio kumfumania tu ila kuna uwezekano mke amem poison mumewe ili awe huru na mchepuko.Kuna akili inanambia marehemu alinyongwa.
Huenda karudi usiku wa manane,
Kamfumania mkewe anagongwa chumba Cha mpangaji.
Katika purukushani mfumaniaji kauwawa.
Kuua Soo ikabidi yatengenezwe mazingira ya fasta ionekane kajinyonga mle mle ndani.
STAGED CRIME SCENE[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
KwelDaaah kaacha msalaba mzito sana naeza kuamini higo sababu yq mke kazini kumekua na chuki sana maofisini fitina,majungu,chuki na dharau zimejaaa
Na angejinyonga mume mke angekuwa mhusika au sio?Mke might be involved, Na Mara nyingi atakuwa kadanganywa Na mwanaume mwingine baada uchepukaji
Muhimu sanaYaani mfanyakazi mwenzako akukere mpaka uamue kujiua?....
Jamaa ameiacha familia yake kwenye wakati mgumu sana.....ni vizuri kufikiria madhara ya yatakayowapata watu wako wa karibu/familia kabla ya kuchukua uamuzi wa hatari.
Kumuinua Mtu wa kilo 60-70?, hata kama huyo Mwanamke ni baunsa bado hiyo si kazi rahisi hata kidogo Mkuu, labda kama alipata usaidizi.Huenda hata sio kumfumania tu ila kuna uwezekano mke amem poison mumewe ili awe huru na mchepuko.
Na ndio maana kaingizia kuwa recently mwamba alikuwa na tatizo amoeba hivyo kulalamika tumbo kumuuma. Hii ni kuua soo kuwa alimlisha sumu.
To make shit worse akaamua akautundike mwili kwenye room ya mpangaji na kanga yake ili apoteze ushahidi kinamna flani na kusindikiza na ujumbe kwenye karatasi. Ila maelezo alivyoyatoa doesn’t count at all.
Hawa watu huenda walikuwa na sort of mgogoro na obviously ni case ya mke hakuwa muaminifu sababu wanaomjua jamaa wanasema alikuwa mzungu wa roho. Kwa attitude ya wanaume design hii huwaga mandezi sana kwa wanawake na kugongewa huwa ni swala la muda tu. Huenda jamaa alishagundua mkewe anagongwa wakawa wanagombana mara kwa mara.
Huyo amebebwa na hawara wake wakamtundika tena hio ni mishe ya midnight!Kumuinu Mtu wa kilo 60-70 labda kama huyo Mwanamke ni baunsa...hiyo si kazi rahisi hata kidogo Mkuu, labda kama alipata usaidizi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mama anajimaliza.Mwenyewe nimeshtuka. Mtu kafiwa na mumewe anaongea kama chiriku.
Mimi nahama kabisaChumbani kwa mpangaji marehemu amemtia mkosi mpangaji kwenda kujinyonga room ya mpangaji.
This is strange, kama mke amehusika basi ana roho ya kikatili sanaSio kweli, hajajinyonga, chunguza penshemi ya kustaafu ni kiasi gani, na amebakisha siku ngapi kustaafu udereva, na beneficiary next in line ni nani?
sasa si mke yupo atalea watoto? mbona kuna vijana wengi wana miaka 20 wametelekeza watoto bila matunzo?
[emoji16][emoji16]Bonyeza*102# utauona.
Tuachane na hayo. Naomba kuuliza ni wewe kwenye iyo avatar picha? Kama ni wewe si tuanze tu kufahamiana.Wewe umeona hukumu imetolewa hapa???
Tena hata tatu husibiri marwhemi mzushi sana aiseeMimi nahama kabisa
Weee bwana mbona unamsaigia kunguni mjane mkuu.Uyu kafumania afu kanyongwa,
KAZI za madereva wengi wao hurudi usiku wa manane
Sent using Jamii Forums mobile app